Zombi Mweusi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 1,077
- 2,164
Habari ya jioni wapendwa
Kuna kaofisi nataka kufungua sehemu ila umeme hamna nataka kutumia sola ili iweze kusukuma friza la boss lita 230 lengo nataka kufahamu ninunue bettry ngapi?
Betrry nazotaka ni za N12
Uwezo wa umeme 12V
Masaa ya kutumia 14HRS
Shida hapa ninunue sola za watt ngapi na bettry?
Nataka bettry ndogo kutokana zinakuwa zinadumu kuliko hizi kubwa
Naomba kujibiwa hapa ili kila mtu wakuelewa aelewe mambo ya inbox [emoji777][emoji777][emoji777][emoji777]
Kuna kaofisi nataka kufungua sehemu ila umeme hamna nataka kutumia sola ili iweze kusukuma friza la boss lita 230 lengo nataka kufahamu ninunue bettry ngapi?
Betrry nazotaka ni za N12
Uwezo wa umeme 12V
Masaa ya kutumia 14HRS
Shida hapa ninunue sola za watt ngapi na bettry?
Nataka bettry ndogo kutokana zinakuwa zinadumu kuliko hizi kubwa
Naomba kujibiwa hapa ili kila mtu wakuelewa aelewe mambo ya inbox [emoji777][emoji777][emoji777][emoji777]