claudematemu
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 316
- 479
Driver za display zipo updated?
Mkuu unajuaje kama driver zipo update au laaDriver za display zipo updated?
Uliigonga sehemu?VGA nimechomoa nimeweka tena..
Nimechange monitor
Nimeaweka CPU nyingine kwa hii monitor mzigo upo fresh
Yaan ishu ni CPU hii about hzi connection zote zipo oky mkuu..
Na ukiwasha inaanza kuwaka vzri tu na maneno yanakuja yale ya click esc sijui f1 as normal ila baada ya hapo kile ki window icon hakiji
Hapana ila nachokumbuka juzi nili change vga nikaweka kwa desktop nyingine...Uliigonga sehemu?
Hapo kuna mawili unatumia , vga au Hdmi ? Tatizo hapo ni possible display driver au waya zakoMkuu unajuaje kama driver zipo update au laa
Waya ipo.oky..Hapo kuna mawili unatumia , vga au Hdmi ? Tatizo hapo ni possible display driver au waya zako
au virus ?Hapana ila nachokumbuka juzi nili change vga nikaweka kwa desktop nyingine...
Nakuja kurudisha huku nakuta mambo si mambo..
Kingine inawaka safi tuu inaleta mpaka ile hp icon ila suala la ku start kwenda kwa window hapo ndo inaanza leta mistar
Hapana ni mkuu ni issue ya graphics card au display driverau virus ?
Ooh muulize AI wa chatgpt km humu umekosaHapana ni mkuu ni issue ya graphics card au display driver
Sasa nachopambania ni kuna uwezekano wa kupata mtalam akanipa shortcut ambayo naweza cheza na keyboard tuu mashine ikawaka
Mkuu nimekesha nae huyo chat...Ooh muulize AI wa chatgpt km humu umekosa
Duh,haoo rudi ulikoitoa tuMkuu nimekesha nae huyo chat...
Mkuu kuna mambo yaache tuu an Al anapokufikisha..
Atasema ni connect na internet... Hapo unamwambia haijawaka bado..
Anasema u boot .. huku kwenye ku boot wanakuletea lugha za ajabu
Nardo.hapa kwa sanga chap.. either wanipe window ten au wanibadilishie hili bomuDuh,haoo rudi ulikoitoa tu
Imekubal?Mkuu
Aaaah wapi hapa badae napeleka picha kwa niliponunua watanipa muongozo nahisi mkuuImekubal?
SawaAaaah wapi hapa badae napeleka picha kwa niliponunua watanipa muongozo nahisi mkuu
FOREX, BANGI NA GYM.
FOREX, BANGI NA GYM.
Inatooosha kabisa kwa mwanaume