a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,991
- 2,240
jaribu ask 4 assistance from AI tools ROBOT eg chat G pt.
Mwanzo nilikua nadhani ni hardware ila ulivyotuma motherboard yako napata ukakasi kuendelea kuhisi hivyo kwa maana wewe hautumii graphic card bali integrated...Mkuu kwa haraka hii ishu ni software au hardware...?
Na je unazani kuna uwezekano wa kushusha window..?
Mkuu nimepta kote huko angalia my recent tab hapojaribu ask 4 assistance from AI tools ROBOT eg chat G pt.
Washa bonyesa F1 kisha fanya interrupt kwa kubonyeza button ya power mara kadhaa ili uingie kwenye bios.Mwanzo nilikua nadhani ni hardware ila ulivyotuma motherboard yako napata ukakasi kuendelea kuhisi hivyo kwa maana wewe hautumii graphic card bali integrated...
Wacha tujarubu hii ya mwisho then nikwambie kitu, twende kwenye bios moja kwa moja ili tukatafutie safe mode huko then hii kama itagoma hapa itakua na uhakika moja kwa moja kwamba shida ni software ila kama itawaka bila hiyo mistari tutajua shida iko kwenye hardware either kwenye hilo betri RAM or something.
So twende na hii option ya mwisho kwanza.
Oky hapo kwenye root mkuuHapo unatakiwa kuiruti, halafu unaiflashi na kuipiga windo, itaiitika yenyewe....
Washa compyuta yako ikiwa inaendelea kuwaka kabla haijafika kwenye window si huwa inakuletea yale maelezo ya kukwambia kwamba time haiko sawa na bla blah kisha inakupa option ya F1 sasa bonyeza hiyo f1 uendelee na baada ya hapo sasa ndio fanya interrupt boot kwa kugusa hiyo button ya power mara tatu kisha itakupeleka kwenye kurepair ukifika huko tutaitafuta safe mode... Fanya hiyo kwanza.Washa bonyesa F1 kisha fanya interrupt kwa kubonyeza button ya power mara kadhaa ili uingie kwenye bios.
Hapa sijakupata
Nimeizima mkuu kw kweli kesho tafanya ila nikiona mazingira sio.nakuchek...Washa compyuta yako ikiwa inaendelea kuwaka kabla haijafika kwenye window si huwa inakuletea yale maelezo ya kukwambia kwamba time haiko sawa na bla blah kisha inakupa option ya F1 sasa bonyeza hiyo f1 uendelee na baada ya hapo sasa ndio fanya interrupt boot kwa kugusa hiyo button ya power mara tatu kisha itakupeleka kwenye kurepair ukifika huko tutaitafuta safe mode... Fanya hiyo kwanza.
Yeah ni check mkuu😅😅Nimeizima mkuu kw kweli kesho tafanya ila nikiona mazingira sio.nakuchek...
Si upo hapa hapa dasalam mkuu
Issue ya graphics card ... Hii sijaweka extra graphic cardView attachment 3388865
Sawa mkii tafanya hvo... Bios betr hyoView attachment 3388872
Jaribu kukitoa alf ukirudishe vizur
MkuuView attachment 3388872
Jaribu kukitoa alf ukirudishe vizur
Ikiwezekana nunua battery ingine
Check hata ile messages iliyoonyesha power loss in time battery
MkuuView attachment 3388872
Jaribu kukitoa alf ukirudishe vizur
Ikiwezekana nunua battery ingine
Check hata ile messages iliyoonyesha power loss in time battery