Msaada wakuu... Orange white screen

Msaada wakuu... Orange white screen

Iguse mara kadhaa f8
Oky mkuu let explain hapa..
Ukiwasha before uja do chochote inaleta hiii
IMG_20250630_004512.jpg
 
Hp mkuu core 5.
Ram 4
Pro 3.

Ya kulala
Washia kwenye safe mode. Nadhani ni f8 kwenye machine za hp. Bonyeza pale inapotokea logo.

Sometime kama ulikua online kuna updates zinaweza zikawa zimefanyika ambazo haziendani na pc yako. Kwa kesi yako nahisi ni za grafics.

Ukifanikisha kuwasha disable au uniinstall hizo driver.

Solution nyingine ni kuniinstall latest update zote kiujumla zilizofanyika. Hiki kipengele kinapatikana utakipata ukifanikiwa kuwasha kwenye safe mode pia.
 
Then nikiclick f1 inaleta ile orange screen..

Hyo f8 ya safe mode naiclik ikiwa wapi pale inapowashwa au pale baada ya ku click f1
 
Washia kwenye safe mode. Nadhani ni f8 kwenye machine za hp. Bonyeza pale inapotokea logo.

Sometime kama ulikua online kuna updates zinaweza zikawa zimefanyika ambazo haziendani na pc yako. Kwa kesi yako nahisi ni za grafics.

Ukifanikisha kuwasha disable au uniinstall hizo driver.

Solution nyingine ni kuniinstall latest update zote kiujumla zilizofanyika. Hiki kipengele kinapatikana utakipata ukifanikiwa kuwasha kwenye safe mode pia.
Mkuuu najaribu hii njia ya safe mode the. Nakupa mrejesho
 
Nahisi shida sio window ila ni driver au kama kuna graphics card itakua ziko incompatible so angalia hayo maeneo
Issue ya graphics card ... Hii sijaweka extra graphic card
IMG_20250630_004847.jpg
 
Then ukigusa F1 inakupeleka wapi... I mean baada ya hapo
Baada ya hapo inaweza kuja hapo hapo kama mara tatu then inaleta screen ya hovyo hyo..

Before that ilikua inaleta 🪟 then sehem ya Passwords
 
Then nikiclick f1 inaleta ile orange screen..

Hyo f8 ya safe mode naiclik ikiwa wapi pale inapowashwa au pale baada ya ku click f1
Kabla haukafika kwenye screen ya mistari ndio unatakiwa upige hiyo ila kwa windows 10 na 11 hii option huwaga inazingua sometimes so shikilia shift kisha restart ili uingie kwenye advance na huko ndio uende kwenye option ya safe mode.

Ukishindwa nitumie nauli nije nikurekebishie mkuu😂😂
 
Wasalam
Wakuu naombeni msaada najua kuna wataalamu humu maana mimi nimehangaika weeeh mpaka YouTube mpaka sasa nimekula tutorial kama 3 ila wapi sijatoboa
Screen nikiwasha inaanza kama kawaida ita leta hp pale na notification zingine za kawaida..

Inapofika state ya ku start inaleta orange screen namna hiyo hapo chini.

Mashine mpya haina hata miezi..
Je nirudishe au naweza solve hili suala bila kurudisha..?

Screen inakua hvoView attachment 3388841
Changamoto kama hiyo mara nyingi
Ni issue ya
  • driver zime failure
  • display settings zimekaa hovyo
  • hardware

Angalia window update
Badilishs window weka nyingine
Angalia waya wa display ambao ni physical kama uko connect well

Karibu kuungsnisha kwenye Tv au monitor uone kama bado inasumbua
 
Kabla haukafika kwenye screen ya mistari ndio unatakiwa upige hiyo ila kwa windows 10 na 11 hii option huwaga inazingua sometimes so shikilia shift kisha restart ili uingie kwenye advance na huko ndio uende kwenye option ya safe mode.

Ukishindwa nitumie nauli nije nikurekebishie mkuu😂😂
Mkuu kwa haraka hii ishu ni software au hardware...?
Na je unazani kuna uwezekano wa kushusha window..?
 
Screen inashida au check kwenye VGA ikae vizuri
Au chukua screen ingine uunge
Kama itaonyesha kwenye screen ingine bas hiyo inashida
Na isipo onyesha bas shida ni kwenye VGA au CPU

Ikikataa icheck graphic card
Hizo njia zote nimefanya mkuu...
Kuhusu graphics card hapa slot za graphics card zipo empty au nachekia wapi
 
Changamoto kama hiyo mara nyingi
Ni issue ya
  • driver zime failure
  • display settings zimekaa hovyo
  • hardware

Angalia window update
Badilishs window weka nyingine
Angalia waya wa display ambao ni physical kama uko connect well

Karibu kuungsnisha kwenye Tv au monitor uone kama bado inasumbua
Hii ki desktop mkuu..
Siwezi angalia update maana bado huko haijafika ndo kwanza ipo katika early stage bado haijawaka..

Kuunganisha kwa monitor nyingine mziki ule ule sijajua kwenye tv
 
Mkuu coder an hii kitu kama kuna mtu ata solve kwa keyboard tuu hapa bila kushusha window aaaaaaagh basi huyu mtu ana uwezo wa kutengeneza sirah za moto..

Unajua toka jioni nasumbuka an daah na kuna templ za watu aiseee nawaza nitoe harddisk ilo niamishe vtu maana havipo kwa local disk ya window
 
Back
Top Bottom