Raaj
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 205
- 29
Ndugu wana JF naombeni msaada wenu, laptop yangu aina ya hp Elitebook 2530p haionyeshi kitu chochote kwenye screen baada ya kuwaka.
Inaanza kuwaka vizuri inaleta logo ya window 8 halafu inanambia niweke password kama kawaida lakini baada ya hapo screen inakua plain kabisa.
Msaada wenu unahitajika ASAP
Inaanza kuwaka vizuri inaleta logo ya window 8 halafu inanambia niweke password kama kawaida lakini baada ya hapo screen inakua plain kabisa.
Msaada wenu unahitajika ASAP