Msaada: Screen ya laptop yangu

Raaj

JF-Expert Member
Feb 10, 2013
205
29
Ndugu wana JF naombeni msaada wenu, laptop yangu aina ya hp Elitebook 2530p haionyeshi kitu chochote kwenye screen baada ya kuwaka.

Inaanza kuwaka vizuri inaleta logo ya window 8 halafu inanambia niweke password kama kawaida lakini baada ya hapo screen inakua plain kabisa.

Msaada wenu unahitajika ASAP
 
Kama inaonesha logo ya win 8 inamaana screen ni nzima. Jaribu kuboot na safe mode.

Ukiwasha computer bonyeza f8 uone kama itakubali safe mode, ikikataa jaribu kuwasha huku unabonyeza f8 kwa kurudia rudia
 
Kama inaonesha logo ya win 8 inamaana screen ni nzima. Jaribu kuboot na safe mode.

Ukiwasha computer bonyeza f8 uone kama itakubali safe mode, ikikataa jaribu kuwasha huku unabonyeza f8 kwa kurudia rudia

Asante Chief lakini hamna kinachotokea nikibonyeza hyo f8 tatizo lilianza nilikua nainstall app ikanambia restart baada ya hapo ndo ikawa hvo
 
Asante Chief lakini hamna kinachotokea nikibonyeza hyo f8 tatizo lilianza nilikua nainstall app ikanambia restart baada ya hapo ndo ikawa hvo

Yap naelewa, lengo la kuingia safe mode ni kukuwezesha wewe kuitoa hio app au kufanya system restore,

Endelea kusumbuka nayo hadi uingie recovery mode ili uipate safe mode,

Sasa hv washa pc then bonyeza shift halafu bonyeza f8 kwa kurudia rudia bila kuachilia shift
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom