Msaada wakuu... Orange white screen

Msaada wakuu... Orange white screen

Duuh kama ni window mbona its too early sasa daaah ngoja nipige window tuu ka vipi...
Alafu inaelekea window 11 ya kiwaki sana kubabek hii inatia hasira
Huwa siikubali hii window, ni kama haipo stable hivi... Halafu kwanini unatumia window? Piga Kali Linux 😅😅
 
Jaribu kwanza safe modal uone coz nahisi ishu itakua ni driver, ukiona kwenye safe mode inafunction poa basi basi angalia driver ila ikigoma na huko tutahamia kwa window.
Daaah safe mode oky

Hapa napiga ctrl +alt delet mzigo unakubali...
Nikizima the. Niki f8 hakuna safe mode mzee
 
Back
Top Bottom