Battery inamoto wa kutosha? Terminal zimekaza na hazina carbon? Starter umeikagua haijaanza kuchoka?Salaam!
Naomba Msaada kwenye hilo. Gari unapopiga Starter linakuwa moto unafika ila haiwaki.
Muda mwingine Kesho yake au muda mrefu umepita Ukiwasha inawaka.
Naombeni Kujuzwa kwa wale waliowahi kumbana na adha hii.
Hiyo Plug zimeisha au zimeshika kutu. Kwahiyo Ignition haitosha kusukuma Transmision kwa Combustion Engine.Salaam!
Naomba Msaada kwenye hilo. Gari unapopiga Starter linakuwa moto unafika ila haiwaki.
Muda mwingine Kesho yake au muda mrefu umepita Ukiwasha inawaka.
Naombeni Kujuzwa kwa wale waliowahi kumbana na adha hii.
Starter kuna wakati gari inakuwa switch on lakini haipigiBattery haina Carbon, kwa Upande wa Kusema ina Moto wa Kutosha labda nitajuaje? Na dalili za Kuchoka Starter nisaidie Mkuu!
Hapa hapo ingepiga starter lakini isingekaa silenceHata fuel system inaweza kuwa na shida (fuel pump)
Tafuta fundi fasta itakuja kukugomea pabayaNdicho nakiona Mkuu. Yaani kila kitu kinakuwa Fresh kwenye Dash sema inagoma kuwaka. Unaona Kabisa Moto unafika.
Mkuu umeandika kitalaamu au umeandika kwa uzoefu wa mtaa?Hiyo Plug zimeisha au zimeshika kutu. Kwahiyo Ignition haitosha kusukuma Transmision kwa Combustion Engine.
kitaalamu hatusemi silence tunasema idling.Hapa hapo ingepiga starter lakini isingekaa silence
Salaam!
Naomba Msaada kwenye hilo. Gari unapopiga Starter linakuwa moto unafika ila haiwaki.
Muda mwingine Kesho yake au muda mrefu umepita Ukiwasha inawaka.
Naombeni Kujuzwa kwa wale
waliowahi kumbana na adha hii
italaamu au umeandika kwa uzoefu wa mtaa?
Kwanza kabisa plug haiwezi kushika kutu kutoka na mazingira yake ya utendaji bali inaweza kushika kitu kama masizi yanayotokana na mlipuko katika combustion chamber
Lakini pia plug haiwezi kuwa sababu ya starter motor kushindwa kuanzisha mzunguko.
Na, Plug huwa haziishi kwa pamoja.
Mleta mada hajasema kama gari yake ni ya diesel au petrol, sababu kunatofauti ya utendaji ktk engine, ulipaswa kuuliza hilo..
Ni ya Petrol Mkuu. Karibu kwa Ufafanuzi Mkuu!Kabla sijajibu kitu naomba kufahamu kama gari yako inatumia diesel au petrol? sababu kuna tofauti ya kufanya visual inspection kati ya gari ya petrol na diesel inapotokea tatizo la starting kama hili..
Aaaaah ni gariii ya petrol au diesel mkuu na ikiikaa kwa muda gan inawaka hiyo gar au ndo haiwaki hata kidgo inaishia hvyo na kama baadae inawaka ina maana ina ugonjwa wa hard start je ukipiga kwa muda inawakaYah, maana unaiona kabisa inalalamika ila muendelezo wa Kustart unakuwa haupo.
Haiwaki kabisa Mkuu, inaishia hivyo hivyo.Aaaaah ni gariii ya petrol au diesel mkuu na ikiikaa kwa muda gan inawaka hiyo gar au ndo haiwaki hata kidgo inaishia hvyo na kama baadae inawaka ina maana ina ugonjwa wa hard start je ukipiga kwa muda inawaka