msuyaeric
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 838
- 1,167
Wataalam Habari zenu
Mdogo wenu kiukweli nakutana na changamoto ya kwenda kwa fundi Kila baada ya muda Kwa tatizo la kuungua Kwa coil.. pikipiki yangu ni private siifanyii Biashara.
1. Coil ya Kwanza iliyokuja na Pikipiki iliungua MFUMO wa Taa yaani Taa zilikuwa ukiwasha baada ya muda zinafifia hivyo mwanga hakuna nikabadilisha coil.
2. Coil ya pili Siku moja natoka masafa yangu bagamoyo nafika maeneo ya bunju pikipiki ikazima kuja kuangalia ni kwamba jiko moja la coil likipata Moto Sana inafanya pikipiki izime.. hivyo nikawa nikiendesha na ikizima huwa naisubilia ipoe kisha niendelee (ilinitesa Sana hii hali) nikabadilisha coil
3. Coil ya tatu nimeenda zangu Kigamboni vizuri nikafanya mizunguko yangu (kwenye mizunguko nilitumia usafiri mwingine pikipiki nilipaki sehemu) nilivyo rudi pikipiki ikawaka vizuri Ila niliacha ichemke kidogo kama Dakika 2 ghafla ikazima ndo haikuwaka tena.. kesho yake fundi kuja kakuta imeungua coil jino la kuwashia.. nikabadilisha
4. Coil ya nne Juzi mvua kubwa ilinjesha Dar sasa sehemu niliyoenda kujikinga kiukweli pikipiki haingii kiukwel pikipiki ilinyeshewa na mvua, mvua ilivyokata nikawasha nikaendelea na mizunguko yangu.. nikafika sehemu nikapaki, baadaye nikawasha ili niende sehemu eeh ile kuwaka na kutembea kama Mita 100 ikazima ghafla Tu.. nikamuita fundi wangu kuja kuangalia sehemu ya coil maji yaliingia ya mvua.. sasa nikamuuliza maji yanaingiaje wakati pamezibwa naye Hana majibu.. hivyo coil ikaungua ikabidi anibadilishie.
Mpaka sasa natumia Coil ya Tano, na hii ndo Coil ya kichina nawaza ZILE Safar zangu za mbali itaweza kweli?
Katika masafa yangu ya mbali yote Tanga, Dodoma coil haijawai kuungua ila nikiwa mjini Tu yaani ndo shida.
Sasa wataalam naomba Msaada wapi naweza kupata Coil Original ya Pikipiki yangu hapa Dar es Salaam pia wapi kuna mfundi mzuri na mwaminifu hapa Dar maana nishaona huyu fundi naye mwamini ananizingua tu coil zinaungua ovyo na yeye ajui shida iko wapi.
Naomba Msaada Wenu pikipiki nzima kabisa ila Coil ndo Mchawi.
PICHA: Mfano wa Coil Yangu
Mdogo wenu kiukweli nakutana na changamoto ya kwenda kwa fundi Kila baada ya muda Kwa tatizo la kuungua Kwa coil.. pikipiki yangu ni private siifanyii Biashara.
1. Coil ya Kwanza iliyokuja na Pikipiki iliungua MFUMO wa Taa yaani Taa zilikuwa ukiwasha baada ya muda zinafifia hivyo mwanga hakuna nikabadilisha coil.
2. Coil ya pili Siku moja natoka masafa yangu bagamoyo nafika maeneo ya bunju pikipiki ikazima kuja kuangalia ni kwamba jiko moja la coil likipata Moto Sana inafanya pikipiki izime.. hivyo nikawa nikiendesha na ikizima huwa naisubilia ipoe kisha niendelee (ilinitesa Sana hii hali) nikabadilisha coil
3. Coil ya tatu nimeenda zangu Kigamboni vizuri nikafanya mizunguko yangu (kwenye mizunguko nilitumia usafiri mwingine pikipiki nilipaki sehemu) nilivyo rudi pikipiki ikawaka vizuri Ila niliacha ichemke kidogo kama Dakika 2 ghafla ikazima ndo haikuwaka tena.. kesho yake fundi kuja kakuta imeungua coil jino la kuwashia.. nikabadilisha
4. Coil ya nne Juzi mvua kubwa ilinjesha Dar sasa sehemu niliyoenda kujikinga kiukweli pikipiki haingii kiukwel pikipiki ilinyeshewa na mvua, mvua ilivyokata nikawasha nikaendelea na mizunguko yangu.. nikafika sehemu nikapaki, baadaye nikawasha ili niende sehemu eeh ile kuwaka na kutembea kama Mita 100 ikazima ghafla Tu.. nikamuita fundi wangu kuja kuangalia sehemu ya coil maji yaliingia ya mvua.. sasa nikamuuliza maji yanaingiaje wakati pamezibwa naye Hana majibu.. hivyo coil ikaungua ikabidi anibadilishie.
Mpaka sasa natumia Coil ya Tano, na hii ndo Coil ya kichina nawaza ZILE Safar zangu za mbali itaweza kweli?
Katika masafa yangu ya mbali yote Tanga, Dodoma coil haijawai kuungua ila nikiwa mjini Tu yaani ndo shida.
Sasa wataalam naomba Msaada wapi naweza kupata Coil Original ya Pikipiki yangu hapa Dar es Salaam pia wapi kuna mfundi mzuri na mwaminifu hapa Dar maana nishaona huyu fundi naye mwamini ananizingua tu coil zinaungua ovyo na yeye ajui shida iko wapi.
Naomba Msaada Wenu pikipiki nzima kabisa ila Coil ndo Mchawi.
PICHA: Mfano wa Coil Yangu