Msaada wadau: Nimekula Viagra nahisi zitaniua

Msaada wadau: Nimekula Viagra nahisi zitaniua

Nunua maziwa mengi unywe hadi tumbo lijae maziwa.

Bila shaka utakuwa Mdasilam.
 
Habari zenu wana jf, baada ya kuwa na performance ndogo kitandani hatimae nilipata ushauri kutoka kwa rafiki yangu kwamba nitumie hii kitu ili kuboost mashine iweze kufanikisha ufanyaji kazi usiokuwa na shaka yeyote, ila toka nime meza hivi vidonge mlengwa simuoni na simu yake haipatikan tena, hapa nilipo nahisi kizungu zungu macho hayana nguvu, kichwa kinauma sana demu nae hatokezi, yaani nimechanganyikiwa, msaada wenu kama kuna mtu anajua namna ya kufanya ili nirudi katika hali ya kawaida.
Hahahahahahahahahaha
 
Vijana mnaotumia viagra acheni tafuta suluhisho la kukosa nguvu. Wengi wamekufa juu ya vifua wewe bado unaona jambo la mzaa. Shukuru Mungu hakutokea si ajabu ungeshakuwa mortuary.
 
Haya ni mambo ya ndani , pambana kimyakimya kwani hakuna aliyekushauri kumeza ! Na kama yupo mfuate kimyakimya ili upate kimyakimya
 
Habari zenu wana jf, baada ya kuwa na performance ndogo kitandani hatimae nilipata ushauri kutoka kwa rafiki yangu kwamba nitumie hii kitu ili kuboost mashine iweze kufanikisha ufanyaji kazi usiokuwa na shaka yeyote, ila toka nime meza hivi vidonge mlengwa simuoni na simu yake haipatikan tena, hapa nilipo nahisi kizungu zungu macho hayana nguvu, kichwa kinauma sana demu nae hatokezi, yaani nimechanganyikiwa, msaada wenu kama kuna mtu anajua namna ya kufanya ili nirudi katika hali ya kawaida.
Kama ulikua serious lete mrejesho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom