Kwani we mwenyeji wa wapi ndugu na je ulishawahi kufanya biashara yyte ile? Biashara sio kila mtu anaweza kufanya ati! tena kwa eneo ambalo hulifaham na ni START UP bizness! nafuu ingekuwa ni tawi jingine unafunguaNina mili 3 nataka kuanzisha bia shara mkoa wa morogoro je nibiasharagani inayolipa kwamkoa ule kwani mie nimgeni wa hapo