Msaada wa VPN ambayo ni free na strong

Read my article here
 
How do you do that mkuu
Nenda

1.settings kwenye simu yako

2. Connection

3.more (more connection)

4. VPN

5. Add VPN

6. Jaza details Kama zinavyoonekana kwenye attachment

7. Kisha save

8. Chagua VPN uliyo icreate

9. Connect Kisha enjoy


MUHIMU: IPSec pre-shared key jaza vpn

Na password jaza vpn
 

Attachments

  • Screenshot_20201105-190048.png
    Screenshot_20201105-190048.png
    13 KB · Views: 37
Bila vpn wanakudanganya.
Unachobisha nini..simu yangu storage ilikuwa low ,, hivo sijawah download vpn na nimetamba toka na baada ya uchaguzi kila sehemu Hadi jana naona wasap imekuwa nzito msg zinaingia ilansio kwa muda husika hadi nilivotumia built in vpn leo
 
yani ujaze yoooote haya???? shida yote ya nn? alafu ina ulinz kias gani? zama play store hapo pakua kitu ghafla
Acha ujinga! Hiyo ni list ya IP address nimezi orodhesha hapo mtu achague yoyote inayomfaa mojawapo ajaze, nani kakwambia ujaze yote? Kama hujui kitu ni bora ufanye tu venye unajua wewe..

....Kusoma hujui hata picha tu imekushinda tu ku interpret au ku judge ulichoandika...
 
Acha ujinga! Hiyo ni list ya IP address nimezi orodhesha hapo mtu achague yoyote inayomfaa mojawapo ajaze, nani kakwambia ujaze yote? Kama hujui kitu ni bora ufanye tu venye unajua wewe..

....Kusoma hujui hata picha tu imekushinda tu ku interpret au ku judge ulichoandika...
 
Speed inakuwa ya kasi zaidi,ata baada ya kurudisha net yao nitaendelea kitumia vpn
 
Nenda

1.settings kwenye simu yako

2. Connection

3.more (more connection)

4. VPN

5. Add VPN

6. Jaza details Kama zinavyoonekana kwenye attachment

7. Kisha save

8. Chagua VPN uliyo icreate

9. Connect Kisha enjoy


MUHIMU: IPSec pre-shared key jaza vpn

Na password jaza vpn


Niliwahi VPN, baadae nikai- restore simu.
sasa nimejaribu kujiunga tena VPN lakni kila nikifika sehemu ya VPN naletewa ujumbe huu " type the password for credential storage" sijui nijaze nini maana kila nikijaza nakosea.
kwahiyo nashindwa kwenye add vpn
 
Jaribu Thunder! Hii ilinisaidia sana wakati wa kipindi chote cha kampeni na uchaguzi wa 2020! Hakuna habari yo yote inayohusiana na uchaguzi huo ilinipita.
Na hata leo bado naitumia.
 
Back
Top Bottom