kwa ajili ya Window mkuu sio simuSecure VPN. Stable and Fast na inajikata automatically ukiwa inactive baada ya muda flani mf. ukilala usingizi ukiamka inakuwa ipo off.
kwa ajili ya windows sijui mkuukwa ajili ya Window mkuu sio simu
Tafuta extensions za Psphon au Surf VPN zipo gOoGle huko... Au kwenye browser kama Opera mini na Mozilla Firefox zina extensions za VPN kibao tu..wakuu kwa wenye kujua VPN ya kutumia kweny Window OS ya free na nzur naomba msaada
Express Vpnwakuu kwa wenye kujua VPN ya kutumia kweny Window OS ya free na nzur naomba msaada
Download Bigmama VPNMm nashida na server tu wakuu
ila opera si ina built in VPN kwanini asi install hio browserTafuta extensions za Psphon au Surf VPN zipo gOoGle huko... Au kwenye browser kama Opera mini na Mozilla Firefox zina extensions za VPN kibao tu..
Hata mimimm natumia Proton mwez wa nne sasa na sijawah lipia, ina option ya kulipa na free.. ukilipia unakua na location nyingi, ukiwa free zinapunguzwa.. so mm n free... inapiga kazi 24/7
Jazeni kama hivo kwenye screenshot, Sehemu ya password, username & shared-key jazeni neno moja tuMkuu nielekeze nijaze nini hapa Times9 View attachment 1617941
Asante mkuu, nitaichk nayo piaVpn nzuri na ambayo haina usumbufu wowote na inajiconect pale unapowasha data dowload Bigmama VPN au ukipenda weka USA VPN
Big mama iko poa hutajuta inawasha yenyewe ila ukiona funguo haijatokea badilisha nchi ,yani nakuambia hutajuta iko bomba sana.Tatizo la hizi za kuseti Ip address kwenye simu na kusave halafu kuconnect ukizima data na ukiwasha inadai uconnect tena.
MwambieUnaelewa kuwa hizi sheria kandamizi na za kigaidi katika hizi nchi ambazo ni za kidikteta na ambazo ni police state kama Tanzania zinapaswa kupingwa hadi na waliolala makaburini achilia mbali wewe unaepumua?
Si mtuelekeze sasa auHapo mkuu mm natumia ya kwenye simu kudownload app simu inakuwa nzito na ma app yanajaa sana