Msaada wa VPN ambayo ni free na strong

Msaada wa VPN ambayo ni free na strong

Natumia turbo vpn mwaka mmoja sasa bila kulipia
 
Safi,ni mwendo wa kubadili tu,ikiisha muda unajichagulia nyingine unaweka
mm natumia Proton mwez wa nne sasa na sijawah lipia, ina option ya kulipa na free.. ukilipia unakua na location nyingi, ukiwa free zinapunguzwa.. so mm n free... inapiga kazi 24/7
 
mm natumia Proton mwez wa nne sasa na sijawah lipia, ina option ya kulipa na free.. ukilipia unakua na location nyingi, ukiwa free zinapunguzwa.. so mm n free... inapiga kazi 24/7
Poa,itabidi niipakue hii niliyonayo ikifika mwisho
 
Tengeneza account ya L2PT au PPTP utumie kwenye simu yako mwenyewe kwenye built-in vpn ya simu huna haja ya kudownload vpn app, ina speed nzuri sana ndo natumiaga mimi... View attachment 1616407View attachment 1616408
Wazee! Hii kitu requests zimekua mingi sana PM! Kuepusha jam nitaelekeza hapa hapa namna ya ku configurate profile ya in-built vpn ya simu yako muda sio mrefu ili kila mmoja aweze kufanya mwenyewe...

.....Hii haihiitaji ku install VPN app yoyote na pia haichemshi simu kama zilivyo zingine! Iko stable no disconnections za mara kwa mara na faida zingine nyingi utaziona mwenyewe ukianza kutumia!

.....NOTe! Matumizi ya VPN yasikufanye ukiuke sheria za nchi yetu na uharifu wa kimtandao, tumia kwa sababu maalumu tu unapolazimika kufanya hivyo kama ilivyo sasahivi hiki kipindi cha internet censorship!
Screenshot_20201101-210302.jpg
Screenshot_20201101-210323.jpg
 
Wazee! Hii kitu requests zimekua mingi sana PM! Kuepusha jam nitaelekeza hapa hapa namna ya ku configurate profile ya in-built vpn ya simu yako muda sio mrefu ili kila mmoja aweze kufanya mwenyewe...

.....Hii haihiitaji ku install VPN app yoyote na pia haichemshi simu kama zilivyo zingine! Iko stable no disconnections za mara kwa mara na faida zingine nyingi utaziona mwenyewe ukianza kutumia!

.....NOTe! Matumizi ya VPN yasikufanye ukiuke sheria za nchi yetu na uharifu wa kimtandao, tumia kwa sababu maalumu tu unapolazimika kufanya hivyo kama ilivyo sasahivi hiki kipindi cha internet censorship!View attachment 1617393View attachment 1617394
Mkuu kwenye server unaweka nini?
 
Katika VPN zote ninazozijua mimi hakuna kama Tomato VPN.
hii ina nguvu sana hata pale vijijini palipo na netwk ya kusuasua hii inapasua pia hii ni free kabsa
 
Wazee! Hii kitu requests zimekua mingi sana PM! Kuepusha jam nitaelekeza hapa hapa namna ya ku configurate profile ya in-built vpn ya simu yako muda sio mrefu ili kila mmoja aweze kufanya mwenyewe...

.....Hii haihiitaji ku install VPN app yoyote na pia haichemshi simu kama zilivyo zingine! Iko stable no disconnections za mara kwa mara na faida zingine nyingi utaziona mwenyewe ukianza kutumia!

.....NOTe! Matumizi ya VPN yasikufanye ukiuke sheria za nchi yetu na uharifu wa kimtandao, tumia kwa sababu maalumu tu unapolazimika kufanya hivyo kama ilivyo sasahivi hiki kipindi cha internet censorship!View attachment 1617393View attachment 1617394
Mkuu fanya hivyo ukipata nafasi....
 
Natumia turbo vpn duration yake ni wiki moja for free so naomba mwenye kujua ambayo ni free total na yenye kasi nzuri, ni hayo tu wakuu uchaguzi huu umetufunza mengi.
Vpn nzuri na ambayo haina usumbufu wowote na inajiconect pale unapowasha data dowload Bigmama VPN au ukipenda weka USA VPN
 
Suluhisho siyo VPN.Kwanza kutumia VPN Tanzania ni kosa la jinai.Serekali ya CCM chini ya Magufuli tayari ilishatunga sheria ya kukataza matumizi ya VPN Tanzania.Magufuli anasubiria aapishwe afute internet pamoja na matumizi yote ya mitandao ya kijamii Tanzania.Suluhisho pekee ni kuitoa CCM madarakani kwa jasho na damu.View attachment 1616132
Yaani hii misukule ya kijani sijui ina akili gani eti ni kosa kwa mtanzania & mkorea kaskazini kutumia virtualPrivateNetwork
 
Suluhisho siyo VPN.Kwanza kutumia VPN Tanzania ni kosa la jinai.Serekali ya CCM chini ya Magufuli tayari ilishatunga sheria ya kukataza matumizi ya VPN Tanzania.Magufuli anasubiria aapishwe afute internet pamoja na matumizi yote ya mitandao ya kijamii Tanzania.Suluhisho pekee ni kuitoa CCM madarakani kwa jasho na damu.View attachment 1616132
Wewe uwe unasoma na katiba furahisha genge tu hapa hilo ni kosa la UHAINI kuhamasisha au kumtoa/kuchochea Raisi atoke madarakani ni kosa na adhabu yake ni kifo fanya kazi CHADEMA na ACT ishapewa kesi ya ugaidi vinaenda kufutwa na msajili subiri uone nyie subiri ICC haina uwezo huo hatujafa sana kama wanavyotaka.
 
Back
Top Bottom