wakuja town
JF-Expert Member
- Oct 26, 2020
- 898
- 1,342
Natumia turbo vpn duration yake ni wiki moja for free so naomba mwenye kujua ambayo ni free total na yenye kasi nzuri, ni hayo tu wakuu uchaguzi huu umetufunza mengi.
Suluhisho siyo VPN.Kwanza kutumia VPN Tanzania ni kosa la jinai.Serekali ya CCM chini ya Magufuli tayari ilishatunga sheria ya kukataza matumizi ya VPN Tanzania.Magufuli anasubiria aapishwe afute internet pamoja na matumizi yote ya mitandao ya kijamii Tanzania.Suluhisho pekee ni kuitoa CCM madarakani kwa jasho na damu.View attachment 1616132
Tumia hiiNatumia turbo vpn duration yake ni wiki moja for free so naomba mwenye kujua ambayo ni free total na yenye kasi nzuri, ni hayo tu wakuu uchaguzi huu umetufunza mengi.
Natumia turbo vpn duration yake ni wiki moja for free so naomba mwenye kujua ambayo ni free total na yenye kasi nzuri, ni hayo tu wakuu uchaguzi huu umetufunza mengi.
Nashukuru sana mkuu, nimekaa gizan bila net kwa siku ya nne sasa leo mpk alipokuja mwanangu flan hvi akanirushia hyo turbo kwa Bluetooth, so nikawa na wasi wasi vp mda ukiisha while net yetu inasumbua sumbuaMkuu iko hapa:
Hiyo kwenye red itakusaidia hadi pale tutakapoyafurusha majizi haya:
View attachment 1616140
Shukran mkuuTumia hii
Nyerere angekuwapo asingekubaliana na upuuzi huu tunaoushuhudia.Nashukuru sana mkuu, nimekaa gizan bila net kwa siku ya nne sasa leo mpk alipokuja mwanangu flan hvi akanirushia hyo turbo kwa Bluetooth, so nikawa na wasi wasi vp mda ukiisha while net yetu inasumbua sumbua
Shukran sana mkuu
Nashukuru sana mkuu,Take this... Free
Kweli mkuu, ingawa naona wadau wametuma na ambazo ni free totalSafi,ni mwendo wa kubadili tu,ikiisha muda unajichagulia nyingine unaweka
Tengeneza account ya L2PT au PPTP utumie kwenye simu yako mwenyewe kwenye built-in vpn ya simu huna haja ya kudownload vpn app, ina speed nzuri sana ndo natumiaga mimi...Natumia turbo vpn duration yake ni wiki moja for free so naomba mwenye kujua ambayo ni free total na yenye kasi nzuri, ni hayo tu wakuu uchaguzi huu umetufunza mengi.
Tumia Cyber Gost vpnNatumia turbo vpn duration yake ni wiki moja for free so naomba mwenye kujua ambayo ni free total na yenye kasi nzuri, ni hayo tu wakuu uchaguzi huu umetufunza mengi.
Nielekeze namna ya kufanya maana hiyo kitu naiona kwenye simu yangu kama ulivyoonesha kwenye screenshot hapoTengeneza account ya L2PT au PPTP utumie kwenye simu yako mwenyewe kwenye built-in vpn ya simu huna haja ya kudownload vpn app, ina speed nzuri sana ndo natumiaga mimi... View attachment 1616407View attachment 1616408