RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,798
- 108,145
Sasa hivi nunua ile ya kuanzia 2010. Ni vizuri gari used ununue yenye chini ya miaka kumi au chini ya km100,000(70k itapendeza)Gari naielewa tena hizi za diesel ex UK lakini huu uzi unakatisha tamaa.
Mkuu Kilahunja vp, unefanikiwa kununua? Mrejesho ukoje. Nitashukuru kabla ya kujitoa mhanga