Kilahunja
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 1,502
- 341
volkswagen touareg 3.0 td1 v6 diesel
Wakuu poleni na majukumu, nataka kununua hii gari hivyo naomba ushauri wenu kwenye haya mambo.
1. Matumizi ya mafuta(inatumia lita ngap kwa km).
2. Upatikanaji wa vifaa vyake vya kufanyia service ( diesel filter na oil filter ) ikiwezekana na bei yake.
3. Upatikanaji wa mafundi (arusha na Dar).
4. Upatikanaji wa vipuli.
5. Je ina magonjwa ya mara kwa mara.
6. Uimara wake kwa ujumla.
Wapendwa msaada wenu kwangu ni muhimu sana ili kukamilisha jambo hili.
Nawatakia usiku mwema wapendwa