Msaada wa ushauri mahusiano yangu yamevurugika

Msaada wa ushauri mahusiano yangu yamevurugika

Ameugua kwako arudi tena akafee tumia akili

1. Labda wewe unatumia dawa za asili kufanikisha maisha yako na yeye ndio kitega uchumi akashtuka .
2. Labda kuna mtu wa karibu yako anampiga dada wawatu vita anamtishia akuache ili wewe ukae mwenyewe akurudie akidai huyo akufai.
3.marafiki zako wanaume wanahusika mtoto wawatu anamimba na pia mimba sio yako ya msela wako so anaogopa kusema ukweli .
Anakuwa hataki kuongea kuwa nilipigwa mikasi hadi kitoto kimeingia kwa neema nanichafurani maana nikiandika fulani hutonierewa .

Pole chunguza mabest zako au hayo niliyokuambia
Lazima una huo upungufu furani .
Halafu wanawake wapi wengi ila kupata mwanamke atakaye kuelewa huwa ndio shida funga ukiomba kwa siku 7 akuonyeshe mwanamke sahihi huyo wa mtu ndio maana alirudi home ni mjamzito mimba zingine inauguza sana
 
Wakuu habari za asubuhi, kama kichwa kinavyojielezea kuna mwanamke niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa miaka miwili sasa lakini baada ya muda tuliojiwekea kwamba tuharalishe mahusiano yetu mwenzangu anaonekana kama tayari ame loose interest na mimi na hataki tena niende kwako,

Wewe ulimtelekeza wakati anaumwa sasa kapata mwingine
 
Muda umekuponya hio ni heri kwako. Ungemlaizmisha akakubali kuolewa na wew sasa hivi ungekua unaleta nyuzi kila siku za ndoa yangu hivi ndoa yangu vile.
Likuepukalo lina heri kwako.
 
Ukiona mtu amelose interest ni bora umuache, kumlazimisha arudishe feelings unakosea...anaweza akakubali kwa kukuonea huruma mwisho wa siku ukaja kulia hapa. Kuwa makini kwenye kuoa..usioe mtu ambae unaona kabisa hataki.
...Rudia Tena Kusoma Hapo Juu....!
 
Ukiona mtu amelose interest ni bora umuache, kumlazimisha arudishe feelings unakosea...anaweza akakubali kwa kukuonea huruma mwisho wa siku ukaja kulia hapa. Kuwa makini kwenye kuoa..usioe mtu ambae unaona kabisa hataki.
I wanna be your son in law
 
Wakuu habari za asubuhi, kama kichwa kinavyojielezea kuna mwanamke niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa miaka miwili sasa lakini baada ya muda tuliojiwekea kwamba tuharalishe mahusiano yetu mwenzangu anaonekana kama tayari ame loose interest na mimi na hataki tena niende kwako,

Story ya mahusiano yetu iko ivi

Mwaka 2018 /01 /01 mimi na uyu binti tulianza rasmi mahusiano yetu kila mmoja akiwa anampenda mwenzake kwa dhati sana ilituchukua miezi minne katika mahusiano yetu tukaamua tuanze kuishi pamoja kienyeji nikimaanishaa yeye kutoka kwao na kuja kwangu tukaanza maisha,

Maisha yetu yalikuwa ya furaha japo ups and downs hazikukosa zikiwa zabkutosha tu kama ilivyo ada ya mahusiano yoyote yale baada ya miezi 5 ya kuishi pamoja mwenzangu alipata tatizo la kuugua na tukakubaliana aende nyumbani akanywe dawa za asili maana dawa za hospitali zilidunda nilitafuta nauli akaenda om mi nikaendelea na mishe mishe za maisha uku nikiendelea nae japo kwa kusua sua kama mnavyojua japo mapenzi yangu kwake hayakuwahi kupungua lakini kama binadamu yeyote yule kupitiwa kupo hasa kukiwepo na umbali kati ya wenza wawili.

Muda umeenda sana na kwa sasa muda rasmi niliomuahidi kwamba ndo muda tunaotakowa kuhararisha mahusiano yetu
Kushughurikia taratibu za kimila kidini na mambo mengine ndo umewadia.

Lakini baada y kumgusia mwenzangu swala hili hajalipokea kama nilivyotarajia na pia ushirikiano wake kwangu umekuwa mdogo sana na kuna muda ananiambia ili swala lisubiri kwanza ama tusilifanye kabisa kifupi nimeshindqa kumuelewa na imekuwa kinyume na matarajio yangu mambo yapo mengi yaliyotokea apo katikati katika safari yetu kuanzia tulipoanza mahusiano mpaka leo na siwezi kuyaandika yote nikayamaliza .

Wakuu naomba msaada wa kimawazo mtu mtu uyu nimfanyeje nimwelezeje ama nitumie nini ili niwese kumrudisha kwangu maana kwa sasa inaonyesha mapenzi yake kwangu yamepungua na pia najua kuna mwana anaweza naye akawa member wa Jf na akasoma huu uzi labda ndo anatoka naye kwa sasa na ndo amemfanya abadiri malengo

Kifupi uyu ni mwanamke ninayempenda sana sana sana namuhitaji mnowala sihitaji kumpoteza maana mapenzi yangu kwake ni makubwa lakini kwa kwa sasa amekuwa ni mtu ananifungia mlango hanipi ushirikiano sometimes majibu yake ni ya kuniumiza mno.

Nakiri mimi ni binadamu nina mapungufu yangu kama alivyo yeye .

Mwisho naomba msaada kwa yeyote yule ambaye aliwahi kuipitia hali kama hii na akaishinda alifanyaje alitumia nini ama alimtumia nani namaanisha aliyepitia hali hii na akafanikiwa kumrjesha himayani mwenzi wake basi anipwe msaada kimawazo kiushauri ama msaada wowote anaoweza kuutoa kwangu ili mradi nifanikiwe kumrejesha uyu shemeji yenu na wifi yenu himayani tafadhali wakuu.

Hili jambo ni serious mno kwangu na kwa ustawi wa afya yangu japo najua kuna watakao nibeza kuniona boya kunisimanga yote ni sawa maana hii hali na machungu haya ninaye yapitia ni mimi

Bado naamini Jf ni sehemu salama na bado kuna waungwana wengi na wenye hekima na busara wengi ivyo naamini nitapata msaada wa kutataua changamoto yangu

Ankai ..nwasirisha!!

Nb pm yangu iko wazi ntashukuru kwa msaada na kejeli yoyote mtakayonipatia.
Unapopenda upendwi... Usipopenda unapendwa
Maisha hayawez kua sawa kama ww unavokua unapanga yawe.
Kumuacha mtu unaempenda aondoke kweny maisha yako ni ngum na inauma lkn maisha mengine inabid yasonge tu.......... Kuna watu wanaishi na wanawake miaka , 20 lkn bado wanawake wanakimbia na kwenda kuuza Pete zao kwa bei ya hasara


Shukuru Mungu bado ukufikia hatua ya kumvisha Pete na kwenda kwao

Sa sikia nkupe mchongo huyo mwanamke muache aende zake we ukiongea nae mwambie hivi "Kama utaki ndoa na mimi basi mahusiano yaishie hapa'" Alivo mjinga atakujibu SawA Alf baad ya miaka michache atarud kukuomba msamaha muda huo we ushaoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom