Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,359
Ameugua kwako arudi tena akafee tumia akili
1. Labda wewe unatumia dawa za asili kufanikisha maisha yako na yeye ndio kitega uchumi akashtuka .
2. Labda kuna mtu wa karibu yako anampiga dada wawatu vita anamtishia akuache ili wewe ukae mwenyewe akurudie akidai huyo akufai.
3.marafiki zako wanaume wanahusika mtoto wawatu anamimba na pia mimba sio yako ya msela wako so anaogopa kusema ukweli .
Anakuwa hataki kuongea kuwa nilipigwa mikasi hadi kitoto kimeingia kwa neema nanichafurani maana nikiandika fulani hutonierewa .
Pole chunguza mabest zako au hayo niliyokuambia
Lazima una huo upungufu furani .
Halafu wanawake wapi wengi ila kupata mwanamke atakaye kuelewa huwa ndio shida funga ukiomba kwa siku 7 akuonyeshe mwanamke sahihi huyo wa mtu ndio maana alirudi home ni mjamzito mimba zingine inauguza sana
1. Labda wewe unatumia dawa za asili kufanikisha maisha yako na yeye ndio kitega uchumi akashtuka .
2. Labda kuna mtu wa karibu yako anampiga dada wawatu vita anamtishia akuache ili wewe ukae mwenyewe akurudie akidai huyo akufai.
3.marafiki zako wanaume wanahusika mtoto wawatu anamimba na pia mimba sio yako ya msela wako so anaogopa kusema ukweli .
Anakuwa hataki kuongea kuwa nilipigwa mikasi hadi kitoto kimeingia kwa neema nanichafurani maana nikiandika fulani hutonierewa .
Pole chunguza mabest zako au hayo niliyokuambia
Lazima una huo upungufu furani .
Halafu wanawake wapi wengi ila kupata mwanamke atakaye kuelewa huwa ndio shida funga ukiomba kwa siku 7 akuonyeshe mwanamke sahihi huyo wa mtu ndio maana alirudi home ni mjamzito mimba zingine inauguza sana