Weka kapichaNokia 6 ipo vzuri ukilinganisha na simu kampuni zingne ambazo zipo ktk range ya Mid.
16mp za camera ya nyuma
8mp za selfie
Internal ni 32/64
Ram ni 3/4
Speed ya net ni 4G. Mimi ninayo used nauza 400k tu. Bado kama mpya ble
hzo hapo juuWeka kapicha