Msaada wa uelewa wa Kisheria

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,398
73,992
Serikali idara ya ardhi for that matter, hutenga na kupanga matumizi ya ardhi ie maeneo maalum ya ardhi kwa shughuli kama viwanda, masoko, makazi, kanisa/misikiti/cemetries etc etc.

Wanafika kwenye eneo la mtu na kupanga matumizi hayo, then wanaondoka bila kulipa fidia. Na wakisha yatenga namna hiyo mwenye ardhi huwezi kufanya lolote nje ya matumizi hayo na wewe huna uwezo wa kuweka hayo matumizi ya ardhi waliyo ya ainisha.

SWALI: Sheria inamlinda vipi mwenye ardhi kwa Idara ya ardhi kutenga maeneo yake bila kumpa fidia?
 
Mipango miji ndio wana jukumu la kupanga mji,hupanga hivyo baada ya eneo husika kutangazwa planning a area, ila wakipanga, hawatwai i, ila wewe mwenye ardhi inatakiwa uendane na mpango husika katika matumizi ya ardhi, ILA wakiamua kuitwaa, lazima ulipwe fidia chini ya sheria za ardhi.

Google Land Act, Cap 133, na Village Land Act, Cap 114, Land Acquisition Act.

N.B: ukiwa umelewa komoni au una usingizi, usipost
 
Mipango miji ndio wana jukumu la kupanga mji,hupanga hivyo baada ya eneo husika kutangazwa planning a area, ila wakipanga, hawatwai i, ila wewe mwenye ardhi inatakiwa uendane na mpango husika katika matumizi ya ardhi, ILA wakiamua kuitwaa, lazima ulipwe fidia chini ya sheria za ardhi.

Google Land Act, Cap 133, na Village Land Act, Cap 114, Land Acquisition Act.

N.B: ukiwa umelewa komoni au una usingizi, usipost
Sasa unamuelekeza au unamsuta?
 
Serikali idara ya ardhi for that matter, hutenga na kupanga matumizi ya ardhi ie maeneo maalum ya ardhi kwa shughuli kama viwanda, masoko, makazi, kanisa/misikiti/cemetries etc etc.
Wanafika kwenye eneo la mtu na kupanga matumizi hayo, then wanaondoka bila kulipa fidia. Na wakisha yatenga namna hiyo mwenye ardhi huwezi kufanya lolote nje ya matumizi hayo na wewe huna uwezo wa kuweka hayo matumizi ya ardhi waliyo ya ainisha.
SWALI: Sheria inamlinda vipi mwenye ardhi kwa Idara ya ardhi kutenga maeneo yake bila kumpa fidia?
Nimeshakutana na mgogoro kama huo Mwanza, halmashauri ya Ilemela imechukuwa mashamba ya watu Buswelu bila kulipa fidia wakapima viwanja na kuuza, jamaa yangu wa karibu aliyenunuwa hicho kiwanja nimemshauri akiuze na amekiuza, maana ana Tittle deed lakini fujo haziishi kutoka kwa mmiliki wa shamba wa awali anadai amlipe ela.

Asiyejuwa kadhia hii hawezi kujuwa ulichoandika atakuja hapa kujambajamba tu.

Na hii inatokea hata kwa kampuni private za real estate wanaanza kuuza viwanja kabla ya kumalizana na mwenye shamba, ni uhuni pro max.
 
Serikali idara ya ardhi for that matter, hutenga na kupanga matumizi ya ardhi ie maeneo maalum ya ardhi kwa shughuli kama viwanda, masoko, makazi, kanisa/misikiti/cemetries etc etc.
Wanafika kwenye eneo la mtu na kupanga matumizi hayo, then wanaondoka bila kulipa fidia. Na wakisha yatenga namna hiyo mwenye ardhi huwezi kufanya lolote nje ya matumizi hayo na wewe huna uwezo wa kuweka hayo matumizi ya ardhi waliyo ya ainisha.
SWALI: Sheria inamlinda vipi mwenye ardhi kwa Idara ya ardhi kutenga maeneo yake bila kumpa fidia?
Eneo likitangazwa kuwa Planning area kwenye gazeti la serikali, unaweza kwenda kutoa mapendekezo na maoni yako kimaandishi kwenye manispaa husika.
Pia unaweza kwenda kupinga Planning scheme mahakamani kwa kutoa sababu mbalimbali.
Tatizo ni kuwa huwa hatusomi magazeti ya serikali na serikali mara nying huwa haitangazi.

kama hakuna traceable tangazo au Notice yeyote kwenye serikali ya mtaa au kwenye gazeti la serikali, unaweza kufungua kesi na kuifanya hiyo scheme illegal.
 
Nimeshakutana na mgogoro kama huo Mwanza, halmashauri ya Ilemela imechukuwa mashamba ya watu Buswelu bila kulipa fidia wakapima viwanja na kuuza, jamaa yangu wa karibu aliyenunuwa hicho kiwanja nimemshauri akiuze na amekiuza, maana ana Tittle deed lakini fujo haziishi kutoka kwa mmiliki wa shamba wa awali anadai amlipe ela.

Asiyejuwa kadhia hii hawezi kujuwa ulichoandika atakuja hapa kujambajamba tu.

Na hii inatokea hata kwa kampuni private za real estate wanaanza kuuza viwanja kabla ya kumalizana na mwenye shamba, ni uhuni pro max.
Kinachofanywa na watu wa ardhi halmashauri nyingi nikuwaibia wananchi. Hakuna utaratibu wakisheria hapo ubamruhusu afisa ardhi kuchukua eneo la MTU nakuliuza.

Kuwepo na mpango wakupima eneo hakumuondolei haki ya umiliki wa eneo mmiliki, isipokuwa nikumbadilishia muundo wa umiliki. Kama ikitokea viwanja vinapimwa basi mmiliki anapaswa kupewa taarifa na kuelezwa gharama za upimaji kwa kila kiwanja then yeye binafsi aamue kuuza kwasababu yakushindwa kugharamia upimaji ili pengi apate pesa ya upimajia nk.

Kutwaa eneo kwa serikali kupo lakini eneo linachukuliwa na serikali kwasababu za manufaa ya umma na nilazima mmiliki afidiwe haraka na fidia ya kutosha. Nitakwa la kisheria.
 
Kinachofanywa na watu wa ardhi halmashauri nyingi nikuwaibia wananchi. Hakuna utaratibu wakisheria hapo ubamruhusu afisa ardhi kuchukua eneo la MTU nakuliuza.

Kuwepo na mpango wakupima eneo hakumuondolei haki ya umiliki wa eneo mmiliki, isipokuwa nikumbadilishia muundo wa umiliki. Kama ikitokea viwanja vinapimwa basi mmiliki anapaswa kupewa taarifa na kuelezwa gharama za upimaji kwa kila kiwanja then yeye binafsi aamue kuuza kwasababu yakushindwa kugharamia upimaji ili pengi apate pesa ya upimajia nk.

Kutwaa eneo kwa serikali kupo lakini eneo linachukuliwa na serikali kwasababu za manufaa ya umma na nilazima mmiliki afidiwe haraka na fidia ya kutosha. Nitakwa la kisheria.
Perfect, lakini hoja yangu bado hujaijibu. Matumizi bora ya ardhi : Kuna eneo la mtu nilitaka kulinunua. Nikaenda mipango miji kuona kama ni la makazi. Nikakuta eno lina open space, shule, soko, barabara, polisi, kanisa etc. Nikamuuliza mwenye eno lake (la kimila) kama alishalipwa fidia akasema hata hajui kama lilipimwa! Sasa haya makanisa, polisi, shule siwezi kuyajenga maana hayanihusu . Nataka makazi. Sasa haki ya mwenye ardhi katika scenario hii ni ipi? Hawezi kuliuza kwa makazi akapata hela zake maana hakuna makazi pale. Sheria inasemaje?
 
Nimeshakutana na mgogoro kama huo Mwanza, halmashauri ya Ilemela imechukuwa mashamba ya watu Buswelu bila kulipa fidia wakapima viwanja na kuuza, jamaa yangu wa karibu aliyenunuwa hicho kiwanja nimemshauri akiuze na amekiuza, maana ana Tittle deed lakini fujo haziishi kutoka kwa mmiliki wa shamba wa awali anadai amlipe ela.

Asiyejuwa kadhia hii hawezi kujuwa ulichoandika atakuja hapa kujambajamba tu.

Na hii inatokea hata kwa kampuni private za real estate wanaanza kuuza viwanja kabla ya kumalizana na mwenye shamba, ni uhuni pro max.
soma kesi hii itafte toka kwenye TanzLii

IN THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA
AT MWANZA

CORAM: JLJMA. C.J.. MUGASHA, 3.A., And NDIKA. J.AT CIVIL APPEAL NO. 42 OF 2017
ABEL DOTTO.............................................................................APPELLANT
VERSUS
MODESTA MAGONJI...............................................................RESPONDENT
(Appeal from the Judgment and Decree of the High Court of Tanzania
at Mwanza)
(Mlacha. J)
dated the 25th day of July, 2016
in
Land Appeal No. 44 of 2016
na hii
 

Attachments

  • LAND ALLOCATING AUTHORITY HAS NO POWER TO ALLIANATE ANOTHERS LAND.pdf
    348.3 KB · Views: 10
Perfect, lakini hoja yangu bado hujaijibu. Matumizi bora ya ardhi : Kuna eneo la mtu nilitaka kulinunua. Nikaenda mipango miji kuona kama ni la makazi. Nikakuta eno lina open space, shule, soko, barabara, polisi, kanisa etc. Nikamuuliza mwenye eno lake (la kimila) kama alishalipwa fidia akasema hata hajui kama lilipimwa! Sasa haya makanisa, polisi, shule siwezi kuyajenga maana hayanihusu . Nataka makazi. Sasa haki ya mwenye ardhi katika scenario hii ni ipi? Hawezi kuliuza kwa makazi akapata hela zake maana hakuna makazi pale. Sheria inasemaje?
Hapo hawezi kulipa fidia kwa sababu eneo halijachukuliwa.
Ukinunua kutoka kwake kabla ya kupata title itabidi ulipime eneo (surveying). Wakati wa kupima unaweza kufanya amendments za ukubwa pia ukaomba amendments za matumizi.
Ukisha survey eneo (Kuna taratibu zake) unaomba hatimiliki za plots. Kila plot Ina hati yake.
Mipango miji ni plan tu, siyo miliki. Serikali ukitaka kujenga kituo Cha Polisi, utalipwa. Ubaya wake hiyo plot (area) inaweza ikakaa idle kwa miaka mingi.
Kwenye open space huna la kufanya labda ufanye amendment.
 
Hapo hawezi kulipa fidia kwa sababu eneo halijachukuliwa.
Ukinunua kutoka kwake kabla ya kupata title itabidi ulipime eneo (surveying). Wakati wa kupima unaweza kufanya amendments za ukubwa pia ukaomba amendments za matumizi.
Ukisha survey eneo (Kuna taratibu zake) unaomba hatimiliki za plots. Kila plot Ina hati yake.
Mipango miji ni plan tu, siyo miliki. Serikali ukitaka kujenga kituo Cha Polisi, utalipwa. Ubaya wake hiyo plot (area) inaweza ikakaa idle kwa miaka mingi.
Kwenye open space huna la kufanya labda ufanye amendment.
asante sana. Nimepata mwanga kuwa kama kuna matmizi ya mipango miji, bado eneo ni lako. Unachoweza kufnya ni kuomba wabadilishe matumiz. Wakikataa nafanyaje? Nimejaribu kutafuta case law on that nimekosa.

pitia case law hii, lkn haiongelei ardhi iliyopangiwa matumizi
 

Attachments

  • CUSTOMARY TITLE DISTRICT LAND AUTHORITY HAS NO AUTHORITY TO ALLOCATE IT.pdf
    323.4 KB · Views: 3
Wakikataa nafanyaje?
Wakikataa huna la kufanya. Ila maeneo mengine unauza. Kama Shule au kanisa unauza eneo la Shule au kanisa.
Kama Police huuzi Ila inakuwa thamani ya eneo lako. Yaani nyumba zikiwa karibu na Polisi zinakuwa na gharama kubwa, unaweza kujenga fremu au biashara.
Real estate value inaongezeka kwenye eneo lako( huwa linaitwa colony) kama umenunua hekari nyingi.
 
Wakikataa huna la kufanya. Ila maeneo mengine unauza. Kama Shule au kanisa unauza eneo la Shule au kanisa.
Kama Police huuzi Ila inakuwa thamani ya eneo lako. Yaani nyumba zikiwa karibu na Polisi zinakuwa na gharama kubwa, unaweza kujenga fremu au biashara.
Real estate value inaongezeka kwenye eneo lako( huwa linaitwa colony) kama umenunua hekari nyingi.
nimekupata vema.
 
Eneo likitangazwa kuwa Planning area kwenye gazeti la serikali, unaweza kwenda kutoa mapendekezo na maoni yako kimaandishi kwenye manispaa husika.
Pia unaweza kwenda kupinga Planning scheme mahakamani kwa kutoa sababu mbalimbali.
Tatizo ni kuwa huwa hatusomi magazeti ya serikali na serikali mara nying huwa haitangazi.

kama hakuna traceable tangazo au Notice yeyote kwenye serikali ya mtaa au kwenye gazeti la serikali, unaweza kufungua kesi na kuifanya hiyo scheme illegal.
Nimekupata vema kabisa.
 
Tanzania mamlaka ya umiliki wa ardhi yapo kwa rais, na mwananchi nimpangaji. Kwa maana hio rais kupitia wasaidizi wake commissioners for land anaamua mpangilio na matumizi ya ardhi. Kwakifupi Mwananchi hana haki kamili dhidi ya kipande cha ardhi anachomiliki.


Kwahio wewe lazima ufwate serikali nasio serikali ikufwate wewe.
 
Eneo likitangazwa kuwa Planning area kwenye gazeti la serikali, unaweza kwenda kutoa mapendekezo na maoni yako kimaandishi kwenye manispaa husika.
Pia unaweza kwenda kupinga Planning scheme mahakamani kwa kutoa sababu mbalimbali.
Tatizo ni kuwa huwa hatusomi magazeti ya serikali na serikali mara nying huwa haitangazi.

kama hakuna traceable tangazo au Notice yeyote kwenye serikali ya mtaa au kwenye gazeti la serikali, unaweza kufungua kesi na kuifanya hiyo scheme illegal.
asante sana. Nitajaribu option hii
 
Tanzania mamlaka ya umiliki wa ardhi yapo kwa rais, na mwananchi nimpangaji. Kwa maana hio rais kupitia wasaidizi wake commissioners for land anaamua mpangilio na matumizi ya ardhi. Kwakifupi Mwananchi hana haki kamili dhidi ya kipande cha ardhi anachomiliki.


Kwahio wewe lazima ufwate serikali nasio serikali ikufwate wewe.
Does the law state as you have put it? or are you giving personal opinions?
 
Back
Top Bottom