Msaada wa U.T.I sugu

Msaada wa U.T.I sugu

Rico redi

Senior Member
Joined
Jul 15, 2023
Posts
163
Reaction score
312
Kwema wakuu nimekua na changamoto ya mkojo unakua unaambatana na hali ya kuchoma choma na pia wakati wa sex inatoka vitu kama uchafu hivi ni tatizo la muda sana nimechoma powerself mara 2 wakati natumia inakata nikimaliza ti dose inajirudia

Pia nimemeza mchanganyiko wa metronidazole,Cipro na doxy na yenyewe nikamaliza dose
Mwenye anafahamu tiba hata ya asili msaada make inafikia Kuna wakati nikipiz inaambatana na damu
 
Kwema wakuu nimekua na changamoto ya mkojo unakua unaambatana na hali ya kuchoma choma na pia wakati wa sex inatoka vitu kama uchafu hivi ni tatizo la muda sana nimechoma powerself mara 2 wakati natumia inakata nikimaliza ti dose inajirudia

Pia nimemeza mchanganyiko wa metronidazole,Cipro na doxy na yenyewe nikamaliza dose
Mwenye anafahamu tiba hata ya asili msaada make inafikia Kuna wakati nikipiz inaambatana na damu
Hii issue Yako ungefanya vipimo kwanza..

By the way.. Kuna brother mmoja amenishukuru Leo ni story ndefu ila to cut story short...

Nili mpa CEFIXIME 400MG TABS 10'S AKATUMIA PAMOJA NA CITAL LIQUID now mkojo unatoka mweupe amepona..

Mkewe alikua na P.I.D SUGU nae Baada ya ultra sound pia nili mpa CLINDAMYCIN 300MG CAPS na ORNIDAZOLE 500MG TABS AKATUMIA PAMOJA now case imekwisha..
 
N
Hii issue Yako ungefanya vipimo kwanza..

By the way.. Kuna brother mmoja amenishukuru Leo ni story ndefu ila to cut story short...

Nili mpa CEFIXIME 400MG TABS 10'S AKATUMIA PAMOJA NA CITAL LIQUID now mkojo unatoka mweupe amepona..

Mkewe alikua na P.I.D SUGU nae Baada ya ultra sound pia nili mpa CLINDAMYCIN 300MG CAPS na ORNIDAZOLE 500MG TABS AKATUMIA PAMOJA now case imekwisha..
Nipime UTI au STI
 
Zingatia mambo makuu mawili:-
1. Nakushauri utafute hospital yenye kipimo cha kuotesha mkojo (Culture & sensitivity), hii itabaini aina ya bakteria wanaokusababishia UTI na itatoa suluhu ya dawa mahususi ya kuua bakteria hao.
2. Hakikisha mwenza wako anapata vipimo ili uwe unashiriki ngono salama au ujiuepushe na mazingira yanayoweza kukusababishia maambukizi ya kujirudia kama vile usafi wa mwili, mavazi na mazingira.

MUHIMU ZAIDI: Epuka matumizi holela ya dawa kwani yatakusababishia Usugu wa vimelea dhidi ya dawa.

Usipopona kwa mambo haya mawili urudi hapa nikusaidie jambo jingine.
ASANTE
 
Zingatia mambo makuu mawili:-
1. Nakushauri utafute hospital yenye kipimo cha kuotesha mkojo (Culture & sensitivity), hii itabaini aina ya bakteria wanaokusababishia UTI na itatoa suluhu ya dawa mahususi ya kuua bakteria hao.
2. Hakikisha mwenza wako anapata vipimo ili uwe unashiriki ngono salama au ujiuepushe na mazingira yanayoweza kukusababishia maambukizi ya kujirudia kama vile usafi wa mwili, mavazi na mazingira.

MUHIMU ZAIDI: Epuka matumizi holela ya dawa kwani yatakusababishia Usugu wa vimelea dhidi ya dawa.

Usipopona kwa mambo haya mawili urudi hapa nikusaidie jambo jingine.
ASANTE
Sawa shukrani nitarudi mkuu
 
Kwema wakuu nimekua na changamoto ya mkojo unakua unaambatana na hali ya kuchoma choma na pia wakati wa sex inatoka vitu kama uchafu hivi ni tatizo la muda sana nimechoma powerself mara 2 wakati natumia inakata nikimaliza ti dose inajirudia

Pia nimemeza mchanganyiko wa metronidazole,Cipro na doxy na yenyewe nikamaliza dose
Mwenye anafahamu tiba hata ya asili msaada make inafikia Kuna wakati nikipiz inaambatana na damu
Mkuu UTI kwa dawa za hospitali utamaliza karibu zote sio rahisi kupona nitafute mimi kwa wakati wako ili nipate kukutibia maradhi yako upate kupona uguwa pole.
 
Hii issue Yako ungefanya vipimo kwanza..

By the way.. Kuna brother mmoja amenishukuru Leo ni story ndefu ila to cut story short...

Nili mpa CEFIXIME 400MG TABS 10'S AKATUMIA PAMOJA NA CITAL LIQUID now mkojo unatoka mweupe amepona..

Mkewe alikua na P.I.D SUGU nae Baada ya ultra sound pia nili mpa CLINDAMYCIN 300MG CAPS na ORNIDAZOLE 500MG TABS AKATUMIA PAMOJA now case imekwisha..
Uzi ulipaswa kufungwa hapa ulipotaja tu Cefixime nimefahamu unajua dawa
 
Mkuu UTI kwa dawa za hospitali utamaliza karibu zote sio rahisi kupona nitafute mimi kwa wakati wako ili nipate kukutibia maradhi yako upate kupona uguwa pole.
Atumie mzizi gani ili apone wa mlonge au wa mnyonyo au akate mzizi wa mkomamanga asage anye na mchemsho wa maji ya mwarobaini siku 14 atapona?
 
Back
Top Bottom