Msaada wa U.T.I sugu

Msaada wa U.T.I sugu

Unapotumia dawa hakikisha hauubani mkojo( kukaa na mkojo kwa muda mrefu).

Usikojoe kwenye kopo usiku.

Kila ukikojoa hakikisha umejisafisha vizuri.

Mwenzi wako apate matibabu pia.

Pima kipimo Cha culture and sensitivity

Kunywa maji ya kutosha, tumia dawa muda sahihi siyo Leo umemeza saa mbili asubuh kesho unaweza saa Tano asubuhi,utafeli mwisho wake utakujoa mkojo kama mtindi wa maziwa.
 
Uzi ulipaswa kufungwa hapa ulipotaja tu Cefixime nimefahamu unajua dawa
Na deal na haya mambo ndugu yangu..

Dawa zipo nyingi sana sana Kuna dawa kama ceftriaxone injection currently inadunda kwa wengi hata azithromycin inadunda.
 
Uzi ulipaswa kufungwa hapa ulipotaja tu Cefixime nimefahamu unajua dawa
Sio sababu ya kufunga uzi, ktk maelezo yake ana historia ya kutumia powercef. Powercef ni ceftriaxone ambayo ni the same na hiyo cefixime.
Kaeleza powercef ilimsaidia kwa siku kadhaa so hata hiyo cefixime kama atatumia pekeyake bila kumtibu mwenzie bado atarudi hapa kulalamika ana u.t.i sugu.
 
sie waganga wa mizizi na spirits tutakushauri mwishoni au sio..
 
Mkuu dawa ni maji tu baaasi.
Hakikisha kwa siku unakunywa lita 2.8 mpka lita tatu
 
Kwema wakuu nimekua na changamoto ya mkojo unakua unaambatana na hali ya kuchoma choma na pia wakati wa sex inatoka vitu kama uchafu hivi ni tatizo la muda sana nimechoma powerself mara 2 wakati natumia inakata nikimaliza ti dose inajirudia

Pia nimemeza mchanganyiko wa metronidazole,Cipro na doxy na yenyewe nikamaliza dose
Mwenye anafahamu tiba hata ya asili msaada make inafikia Kuna wakati nikipiz inaambatana na damu
U. T. I sugu ndo nini??? 🤔 🤔

Tatizo mkiumwa kidogo tu mnakimbilia kuchoma sindano, madhara yake ndo hayo dawa kutofanya kazi vizuri.( Resistance)
 
Unapotumia dawa hakikisha hauubani mkojo( kukaa na mkojo kwa muda mrefu).

Usikojoe kwenye kopo usiku.

Kila ukikojoa hakikisha umejisafisha vizuri.

Mwenzi wako apate matibabu pia.

Pima kipimo Cha culture and sensitivity

Kunywa maji ya kutosha, tumia dawa muda sahihi siyo Leo umemeza saa mbili asubuh kesho unaweza saa Tano asubuhi,utafeli mwisho wake utakujoa mkojo kama mtindi wa maziwa.
Shukrani
 
Kuna mtu kakushauri utafte hos ya kuoteshe mkojo tafta hos kwa jina la mdm ipo maeneo ya mwai kibaki road nenda pale ukutane na dr mahenge usipopona ikate hiyo machine yako kabsaa. Talking through experience kuna wazee tumewapeleka pale zaid ya wanne wamesaidika nakuomba uende huko afu utanishukuru badae
 
Kwan rico red huwezi ukajipa refferal mwenyewe yan upo mwanza na hupon afu unangangana tu na mwanza. Hali ikitulia tafta hos ya maana utibiwe
 
Msaada ndg
1. Nataka kujua we ni Me au ni Ke??

2. Hili tatizo limeaza lini, na linajirudia kila baada ya mda gani kila ukitumia dawa ??

3. Ukitibiwa, je na huyo mpenz wako huwa anapata tiba before kukutana kingono au una wachumba zaidi ya mmoja ??

6. Huo uchafu unatokaje, ni uchafu unatoka njee kabisa kila baada ya masaa kadha au kama ni "Me" uchafu unatoka hadi ubinye kichwa cha ub*oo??

4. Je una tatizo lolote la mda mrefu hasa magonjwa yanayo shusha kinga ya mwili ( HIV, TB, HEPATITIS)??

5. Mara ya Mwisho umetumia dose gani, na dose ulipewaje/Matumizi yake yalikuwaje??
 
Kwan rico red huwezi ukajipa refferal mwenyewe yan upo mwanza na hupon afu unangangana tu na mwanza. Hali ikitulia tafta hos ya maana utibiwe
Sawa mkuu nafanyia kazi Asante Kwa kujali pia je wakati naenda naweza kupata mawasiliano ya huyo Dr mahenge mkuu
 
1. Nataka kujua we ni Me au ni Ke??

2. Hili tatizo limeaza lini, na linajirudia kila baada ya mda gani kila ukitumia dawa ??

3. Ukitibiwa, je na huyo mpenz wako huwa anapata tiba before kukutana kingono au una wachumba zaidi ya mmoja ??

6. Huo uchafu unatokaje, ni uchafu unatoka njee kabisa kila baada ya masaa kadha au kama ni "Me" uchafu unatoka hadi ubinye kichwa cha ub*oo??

4. Je una tatizo lolote la mda mrefu hasa magonjwa yanayo shusha kinga ya mwili ( HIV, TB, HEPATITIS)??

5. Mara ya Mwisho umetumia dose gani, na dose ulipewaje/Matumizi yake yalikuwaje??
Mi ni me

Tatizo limeanza mwaka Jana nikachoma sindano za powercef likaacha kama wiki baada ya hapo likajirudia na dalili kubwa hapa ni mkojo unakua kama unachoma hiivi huo uchafu unakuja tu pale ambapo nakua kama najichua ndo unatokea otherwise hautokei

Hapana sina tatizo lolote linaloshusha Kinga ya mwili na hata kuugua kawaida Nina zaidi ya miaka 3 sijawahi kupata hata homa

Mara ya mwisho kabisa nimetumia dose ya dawa za kumeza ilikua ni doxy, metronidazole na Cipro

Ila kabla ya hizi dawa nilichoma Tena full dose ya powercef ko powercef nimechoma mara 2 mfululizo full dose Kwa vipindi tofauti
 
Sawa mkuu nafanyia kazi Asante Kwa kujali pia je wakati naenda naweza kupata mawasiliano ya huyo Dr mahenge mkuu
ukiwa tayari namba ntakutaftia coz kuna babu tunampeleka clinic after every 2 to 3 weeks tumetokapo sunday hali ikitulia na ukawa tayar ntakutaftia namba
 
Inawezekana imekuwa sugu, kutokana na kujitibu kisha kurudi kwa mahusiano yale yale bila yeye kutumia dozi; Kuna dawa za vidonge inaweza kukusaidia, ila jitahidi kujitenga na mahusiano/tendo angalau miezi 3 mpaka upone kabisa.
 
Mi ni me

Tatizo limeanza mwaka Jana nikachoma sindano za powercef likaacha kama wiki baada ya hapo likajirudia na dalili kubwa hapa ni mkojo unakua kama unachoma hiivi huo uchafu unakuja tu pale ambapo nakua kama najichua ndo unatokea otherwise hautokei

Hapana sina tatizo lolote linaloshusha Kinga ya mwili na hata kuugua kawaida Nina zaidi ya miaka 3 sijawahi kupata hata homa

Mara ya mwisho kabisa nimetumia dose ya dawa za kumeza ilikua ni doxy, metronidazole na Cipro

Ila kabla ya hizi dawa nilichoma Tena full dose ya powercef ko powercef nimechoma mara 2 mfululizo full dose Kwa vipindi tofauti
Swali namba tatu ni la muhimu sana lkn umepuuzia kulijibu bado utapata thabu sana ktk hii insu!!
 
Kwema wakuu nimekua na changamoto ya mkojo unakua unaambatana na hali ya kuchoma choma na pia wakati wa sex inatoka vitu kama uchafu hivi ni tatizo la muda sana nimechoma powerself mara 2 wakati natumia inakata nikimaliza ti dose inajirudia

Pia nimemeza mchanganyiko wa metronidazole,Cipro na doxy na yenyewe nikamaliza dose
Mwenye anafahamu tiba hata ya asili msaada make inafikia Kuna wakati nikipiz inaambatana na damu
Kuna dawa ya kienyeji/asili inatobu UTI sugu wanauza watu wanitwa EDEN hapa kahama. Nimewahi kuitumia wakati nilisumbuliwa na tatizo hilo kwa zaidi ya wiki 4, nilitumia ceftrioxone, ciprofloxacin na amoxiclav zote zilishindwa

Ukihitaji nitachukua namba yao nikupe, bei ya dawa yao ni sh 15,000 tu
 
Back
Top Bottom