u.t.i

I Don't Luv U is a 2013 Indian Hindi-language romantic drama film, starring Ruslaan Mumtaz and Chetna Pande in the lead roles. The film is produced by Amit Kasaria under the banner of Amrapali Media Vision. The film was released on 17 May 2013 in India.

View More On Wikipedia.org
  1. Nakubusu

    JamiiForums Tanzania Yaani miaka ijayo, tunapoelekea U.T.I itakuwa inaogopwa kuliko ukimwi

    Yaani miaka ijayo,tunapoelekea U.t.i itakuwa inaogopwa kuliko ukimwi. Kila sehemu U.T.I sugu yaani balaa tupu,mbaya zaidi uwe kwenye mahusiyano afu umwee ijulikane U.T.I mara mbili, tatu unaachwa🤭.
  2. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania IJue U.T.I ,chanzo, dalili, madhara na tiba

    U.T.I NI NINI U.T.I. (yaani Urinary Tract Infection kwa kirefu) ni ugonjwa unaotokana na maambukizi (infection) katika mfumo wa mkojo (urinary tract). Maambukizi haya yanasababishwa na bakteria tunamuita E.coli ZIPI DALILI KUJUA UNA U.T.I 1. Kukojoa mara kwa mara na maumivu ukikojoa. Wengi...
  3. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Ni njia gani sahihi ya kujikinga na U.T.I wakati wa sex?

    Jf doctors nipeni muongozo wakuu, ukiachilia mbali UKIMWI ambao tunaweza jikinga kwa kuvaa condoms huu ugonjwa wa U.T.I hata ukivaa condom unaupata Je ni njia gani sahihi ya kujikinga na huu ugonjwa yahivi hata ukikutana na mwenye U.T.I asiweze kukuambukiza Natanguliza shukran
  4. S

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Maganda ya nanasi hutibu ugonjwa wa U.T.I

    Mimi huku nilipo nimeona maeneo mengi ya wafanyabiashara wa mananasi wanauza na kutoa maganda ya mananasi kuwapa wateja kwa wanaoomba. Ila nimeona wateja wengi ni wakike wanasema maganda ya mananasi yanatibu U.T.I kama ukichemsha na kunywa maji yake. Je, kuna ukweli wowote U.T.I inaondolewa...
  5. Rico redi

    JamiiForums Tanzania Msaada wa U.T.I sugu

    Shapata tiba shukrani wakuu
  6. immortanity

    JamiiForums Tanzania UTI inaenda kubadilika kutoka kuwa Infection hadi Ugonjwa kamili miaka ijayo

    JamiiForums doctors mkuje mtujuze hii changamoto mbona UTI imepamba moto kwa miaka ya hivi karibuni na kibaya zaidi inazidi kuwa na nguvu zaidi ni kama bacteria wafenyafanya kuji-update tofauti na miaka ya nyuma miaka ya 90's.
  7. Mr-Njombe

    JamiiForums Tanzania Kuna walioanza mwaka 2025 kwa kupata magonjwa baada ya kufanya mapenzi kizembe

    Poleni sana, ni muhimu kujifunza kujali afya kwanza kabala ya starehe. Tazama sasa maumivu unayopitia, gharama na muda unaotumia kujitibu kwasababu tu ya starehe ya muda mfupi. Jifunze kutumia kinga na kuepuka kufanya ngono zembe kiholela. Baki njia kuu. Kunywa pombe kupita kiasi ni hatatari...
  8. rajiih

    JamiiForums Tanzania Msaada: Hivi U.T.I inatibika?

    Habari wana Jf poleni na majukumu ya kazi. Naomba niende kwenye Maada yangu direct. Kwa kitambo Sasa nmekuwa muhanga wa Ugonjwa huu ninao uona ni wa Ajabu kwangu.., Mwanzo wa mwaka huu nilipata Homa Kali sana kiasi nilikaa ndani takribani week zaidi bila kwenda Kazini na wakati huu nilipoenda...
  9. Technophilic Pool

    JamiiForums Tanzania Je mwanaume akiwa na U.T.I anashindwa kusimamisha?

    Ni kama wiki hivi sina hamu ya tendo la ndoa, wala nikiamka asubuhi sioni kama mshedede unasimama! Nikawa najiuliza nimepatww na nini? yaan unakuta kanyamakazi kamesinyaaw😳…. Sasa juzi homa imechochea leo nimeendaa naambiww nina UTI. Je, ni kawaida?
  10. Melki Wamatukio

    JamiiForums Tanzania Juisi ya miwa husafisha figo, kibofu cha mkojo, mzunguko wa damu na kutibu U.T.I

    Hivi kuna ukweli ndani yake ama tunapigwa tu porojo ili tunywe kwa wingi wapate hela?
  11. Yofav

    JamiiForums Tanzania Sindano ya kutibu U.T.I yadaiwa kumletea madhara mwanamke huyu

    Taharuki yaibuka mkoani Arusha baada ya mwanamke mmoja Ester ambae ni mzaliwa wa Singida, Baada ya kuvimba na kuoza kwa kwa vidole vyake vya mkononi kudai kwamba sababu ya tatizo lake hilo baada ya kuchomwa sindano ya U.T.I katika moja ya duka la madawa (pharmacy) linalopatikana mkoani hapo...
  12. M

    JamiiForums Tanzania KWELI Ugonjwa wa U.T.I unaweza kusababishwa na Kutokuwa msafi (Uchafu)

    Mdau wa JamiiForums.com ameelezea wasiwasi wake juu ya kuongezeka kwa maambukizi ya ugonjwa wa UTI kwa wanawake. Anahoji inakuwaje sababu kubwa inayotajwa kuwa ni uchafu ipate mashiko kwa nyakati hizi, kwani wanawake wa zamani ndio walikuwa wasafi zaidi kuliko hawa wa sasa? Mdau huyu anashauri...
Back
Top Bottom