Mjasiriamali M
Senior Member
- Jan 15, 2013
- 142
- 71
Habari za Leo Wakuu?
Nna Ndugu yangu ni mwajiriwa wa Serikalini,(Mwanasheria wa Serikali) yupo katika Process za kuchukua Mkopo kwa Mambo yake Personal, At the same time anahitaji sehemu ambayo wanaweza Kumkopesha Gari. Nawasilisha kwenu nipate Ufafanuzi na Msaada zaidi.
Nna Ndugu yangu ni mwajiriwa wa Serikalini,(Mwanasheria wa Serikali) yupo katika Process za kuchukua Mkopo kwa Mambo yake Personal, At the same time anahitaji sehemu ambayo wanaweza Kumkopesha Gari. Nawasilisha kwenu nipate Ufafanuzi na Msaada zaidi.