Msaada wa sheria ya Code of Good Practice

Ndugu wanajamii huyu jamaa aliyeleta hoja yake hapa ni sahihi kabisa,Code of good practice,rule 2007,ipo kwa mimi ni HR Manager ninayo hapa ofisini kwangu ya "English version"pia ninayo ya kiswahili,ninaambatanisha hapa ya kiswahili iko kwenye PDF file,kama wewe unafanyakazi,hii itakusaidia kuelewa taratibu kama umeachishwa kazi kinyume na taratibu.Lakini wengi hamkuwa na taarifa kama ipo.

kaka ninajaribu kuangalia siioni hiyo file hapa unaweza kunisaidia ndugu yangu NINA SHIDA NAYO SA. nime google wameniletea thread yako hii. msaada wako please.
 
kaka ninajaribu kuangalia siioni hiyo file hapa unaweza kunisaidia ndugu yangu NINA SHIDA NAYO SA. nime google wameniletea thread yako hii. msaada wako please.
Hiyo rules ni vigumu sana kuipata Online, hata kwenye page ya wizara ya kazi na ILO haipo.

Kama upo Dar unaweza pita kwenye Book Shop posta naimani utapata au nenda pale Law School Sinza.

Kama bado ngumu ingia kisutu hapo onana na makarani wa Mahakama wakuazime ukatoe Kopi.
 
Mi ninayo ya kiingereza ila kila nikijaribu ku share JF haitokei. Mafaili yanayo onekana ni whatsapp, blutooth sms, email n.K. Please anaeihitaji anitumie namba yake ya whatsapp au email. Au kama kuna mtaalamu anielekeze nifanyeji kuituma humu ndani
 
Mi ninayo ya kiingereza ila kila nikijaribu ku share JF haitokei. Mafaili yanayo onekana ni whatsapp, blutooth sms, email n.K. Please anaeihitaji anitumie namba yake ya whatsapp au email. Au kama kuna mtaalamu anielekeze nifanyeji kuituma humu ndani

Mheshimiwa, naomba unitumie hiyo kitu kwenye email nitakayokuandikia kwenye PM, kisha nitajitahidi niiweke hapa, Tafadhali okoa jahazi
 
Mi ninayo ya kiingereza ila kila nikijaribu ku share JF haitokei. Mafaili yanayo onekana ni whatsapp, blutooth sms, email n.K. Please anaeihitaji anitumie namba yake ya whatsapp au email. Au kama kuna mtaalamu anielekeze nifanyeji kuituma humu ndani
0767 552 763
 
Mi ninayo ya kiingereza ila kila nikijaribu ku share JF haitokei. Mafaili yanayo onekana ni whatsapp, blutooth sms, email n.K. Please anaeihitaji anitumie namba yake ya whatsapp au email. Au kama kuna mtaalamu anielekeze nifanyeji kuituma humu ndani
Namba unitumie kwa email:dinajared35@yahoo.com nina shida nayo sana Hata mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom