GeniSys101
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,229
- 1,460
Embu fuatilia hii video ya youtube taratibu unaweza okota chochote..
Ulizia kama alikuwa nao basi kuna uwezekano umeupatia hukoAlifariki kitambo sana na sijawahi kuona hata picha yake hivyo sina uhakika.
Yatafute upatikanaji wake sio wa shidaNayapataje hayo mafuta ya mnyonyo na yanaandaliwa vipi namna ya kuyatumia.
Mkuu tatizo umeanza mapema sana, Yani umri huu kuwa na upara ni noma sana.Mkuu jikubali tu uanze kunyoa upaa " mi pia nilianza kuota upaa nikiwa 22 years nikawa naona noma kuachia kichwa, nikawa mzee wa kapelo , nmevaa kofia mda mrefu ndio nikawa nmeuzidisha mara 2 yake ,, lait ningejua ningeuachia tu watu wakazoea, lakin ndo ishakuwa ivo tena siwezi kutoka bila kofia... View attachment 2069483
Itabidi uwazoeshe watu mapema ukianza kuuficha madhara yake ni makubwa kuliko kujikubali now..Mkuu tatizo umeanza mapema sana, Yani umri huu kuwa na upara ni noma sana.
Mpigie huyu jamaa anauza hayo mafutaNayapataje hayo mafuta ya mnyonyo na yanaandaliwa vipi namna ya kuyatumia.
Daahhh,watu nnaakili zenu aiseee Hapa mleta mada lazima afikirie mara mbili,Basi wew si wa huyo mzee nenda kwa upole muulize mama ako akuonyeshe baba ako mwenye kipara mpaka kisogoni.
Sema kama hajawahi kujilipua.acha masikhara mkuu.