Msaada wa namna ya kuondoa kiwalaza

Inafaa zaidi kuzuia zisipotee, kupunguza kasi ya upoteaji kuliko kuziacha ziishe halafu useme uzioteshe.

Ni kama kujaribu kufufua wafu kazi ambayo ni Yesu tu ndiye aliyeiweza. Ila kuzuia magonjwa madaktari hadi wanasiasa wanafanya bila wasiwasi wowote. Not a biggie.

Ushauri wangu stay healthy, prevent hair loss
 
Back
Top Bottom