XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,293
- 6,957
Habari wakuu
Mdogo wenu hapa nimekuja nahitaji msaada wenu, nimeanza kuota kiwalaza na hii inanipa stress sana ukizingatia na umri pia bado hauni ruhusu kumiliki vitu vya ajabu ajabu.
Najaribu kujiuliza kwanini kimeniota haraka haraka namna hii ukizingatia pia hatuna historia ya viwalaza kwenye familia yetu, mzee wangu yupo kwenye 60s na ana nywele zote timilifu.
Bro wangu mkubwa yupo early 30s na yeye hana kiwalaza, sasa najiuliza nimekipata wapi na ndio kwanza nimetimiza miaka 20 juzi hapo ??.
Yani upande wa mbele wa kichwa changu nywele zimeacha kuota pembeni mwa komwe ( receding hairline) na pia nyuma kidogo ya kichwa nywele zimeacha pia kuota.
Wakuu sikuwahi kujua kama hii kitu Ina stress namna hii, na ninavyopenda kunyoa viduku basi daah!
Mdogo wenu hapa nimekuja nahitaji msaada wenu, nimeanza kuota kiwalaza na hii inanipa stress sana ukizingatia na umri pia bado hauni ruhusu kumiliki vitu vya ajabu ajabu.
Najaribu kujiuliza kwanini kimeniota haraka haraka namna hii ukizingatia pia hatuna historia ya viwalaza kwenye familia yetu, mzee wangu yupo kwenye 60s na ana nywele zote timilifu.
Bro wangu mkubwa yupo early 30s na yeye hana kiwalaza, sasa najiuliza nimekipata wapi na ndio kwanza nimetimiza miaka 20 juzi hapo ??.
Yani upande wa mbele wa kichwa changu nywele zimeacha kuota pembeni mwa komwe ( receding hairline) na pia nyuma kidogo ya kichwa nywele zimeacha pia kuota.
Wakuu sikuwahi kujua kama hii kitu Ina stress namna hii, na ninavyopenda kunyoa viduku basi daah!