F FRESHMAN JF-Expert Member Sep 29, 2011 8,822 33,532 Nov 8, 2022 #1 Mgao wa DAWASCO ni balaa, mwenye namba ya wauza maji na magari wanaopaki jirani na Ubungo anisaidie. Sina maji kabisa leo sijui nyumbani wanaishije.
Mgao wa DAWASCO ni balaa, mwenye namba ya wauza maji na magari wanaopaki jirani na Ubungo anisaidie. Sina maji kabisa leo sijui nyumbani wanaishije.
M Mkalapa Senior Member Aug 25, 2022 189 577 Nov 8, 2022 #2 Kamisheni yangu sh ngapi jamaa akuletee maji hapo
pwilo JF-Expert Member May 27, 2015 10,099 12,477 Nov 8, 2022 #3 Umeme na maji Tanzania ishakuwa kero watu kero keroo hyo nyimbo ni ya mda sana lakini mpaka leo umeme na maji bado ni changamoto
Umeme na maji Tanzania ishakuwa kero watu kero keroo hyo nyimbo ni ya mda sana lakini mpaka leo umeme na maji bado ni changamoto