Msaada wa namba za simu za Magari ya kuuza maji, Ubungo

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,822
33,532
Mgao wa DAWASCO ni balaa, mwenye namba ya wauza maji na magari wanaopaki jirani na Ubungo anisaidie.

Sina maji kabisa leo sijui nyumbani wanaishije.
 
Umeme na maji Tanzania ishakuwa kero watu kero keroo hyo nyimbo ni ya mda sana lakini mpaka leo umeme na maji bado ni changamoto
 
Back
Top Bottom