marcozy
New Member
- Jan 29, 2021
- 4
- 2
Leo kidogo naomba kuuliza swali juu ya huduma za mamlaka za maji mikoani na wilayani, kuna kitu huwa sielewi mfano kuna miezi maji hayakatiki kabisa (yaani hakuna mgao wa maji) na kuna miezi maji yanakatikai nzima, utata unakuja namna gani bili ya maji au usomaji wenu units za maji miezi ya mgao zilizotumika zinakuwa kubwa zaidi ya miezi ambayo maji hayakukatika?
Yaani mwezi ambao maji yamekuwepo 24/7 for 30 days bili inakuwa ndogo na siku mlizokata maji kwa wiki nzima au wiki mbili units na bili inakuwa juu sana ? Je hili ni kwa Kahama tu au na kwingine napo ni hivyo hivyo?
Mnasema eti upepo, je sisi tunawajibika kulipia upepo au ninyi ni idara ya maji na upepo ?, Okay tutaanza kuja kujaza tairi za magari sasa na pikipiki huko ofsini kwenu maana ni idara ya maji na upepo.
Please hili suala likoje kitaalamu?
Yaani mwezi ambao maji yamekuwepo 24/7 for 30 days bili inakuwa ndogo na siku mlizokata maji kwa wiki nzima au wiki mbili units na bili inakuwa juu sana ? Je hili ni kwa Kahama tu au na kwingine napo ni hivyo hivyo?
Mnasema eti upepo, je sisi tunawajibika kulipia upepo au ninyi ni idara ya maji na upepo ?, Okay tutaanza kuja kujaza tairi za magari sasa na pikipiki huko ofsini kwenu maana ni idara ya maji na upepo.
Please hili suala likoje kitaalamu?