kahata
Member
- Jan 17, 2021
- 88
- 52
Naomba msaada kufafanuliwa pamoja na mfano wa msamiati" mukhtadha"
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Uzi ufungwe hapa😆Muktadha=Mazingira.
Mf. Muktadha wa Wa eneo lile sio mzuri
Pia katika ujengaji hoja na hata matumizi ya lugha. Kwa mfano kama sentensi ina utata kwa mfano:Muktadha=Mazingira.
Mf. Muktadha wa Wa eneo lile sio mzuri
Ni context.. katika mfano wako neno muktadha haliwezi kutumika.Muktadha=Mazingira.
Mf. Muktadha wa Wa eneo lile sio mzuri