nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,397
Yani mpaka nimecheka utadhani mazuri...kama hataki kuomba msamaha na akijua kabisa bila msamaha hakuna ndoa jueni tu kuwa binti alishabadili mawazo along the way na ameshukuru kwa kupata sababu ya kumpiga jamaa chini...
Ukute hata hiyo message ni ya kupika ili jamaa aachie ngazi...
Bora waachane mapema kuliko kuanza ndoa na ugomvi from day one..
Huwa najiuliza ile ndoa ya Kim K ilodumu muda mfupi ni nini kiliwafanya waoane at first place...? na ukute plausible reason ni kuogopa fedhea kwa kuwa wameshatangaza na miaandalizi yalishafanyika...
Ukute hata hiyo message ni ya kupika ili jamaa aachie ngazi...
Bora waachane mapema kuliko kuanza ndoa na ugomvi from day one..
Huwa najiuliza ile ndoa ya Kim K ilodumu muda mfupi ni nini kiliwafanya waoane at first place...? na ukute plausible reason ni kuogopa fedhea kwa kuwa wameshatangaza na miaandalizi yalishafanyika...
kama kupotea ameshapotea,hilo la kuomba msamaha tumeongea mpaka ....yaani sijui ni nini hiki