Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
why unusuru? nyinyi kunywa na kula na michango ni muhimu kuliko wenzenukuingia mkenge?
the brest cha kufanya ni kusogeza mbele ili muwape muda wa kutafta suluhu,ikishindikana basi
Hapa sioni dalili za ndoa tena. Linapokuja swala la usaliti na kama ingekuwa ni mwanamke ndio ka salitiwa suluhu ingepatikana na maswala ya ndoa yangeendelea.
Uamumizi aliyo uchukua jamaa unachuliwa na wanaume walio wengi.
Hapa hakuna ndoa tena na michango warudishiwe maana ni wanaume wachache wanaweza rudi nyuma kwenye chili.