Msaada wa mawazo: Nimetengeneza Instagram ya kibongo

Msaada wa mawazo: Nimetengeneza Instagram ya kibongo

Nimeangalia play store mbn ka download mtu 1
Nimechangelocation ya app.. na pia wanaodownload hawaupdate kwa siku moja... baada ya siku fulani ndo wanaupdate number. Ila mpaka sasa haina download nyingi coz sijaitangaza popote zaidi ya hapa.. mi nachopenda kuina ni functionality zote kama zinafanya kazi ndo nianze kuitangaza
 
Believe me. This is going to be one of the biggest applications. Keep my words. Ila usisahau kunifanya manager wako. . I mean it
 
Believe me. This is going to be one of the biggest applications. Keep my words. Ila usisahau kunifanya manager wako. . I mean it
Hah.. asante sana mkuu... ebu tuanze tupate watumiaji wa kutosha..
 
Japo simpenzi wa social hizi lakini wacha nikupe hongera, nimeona nimedowload nikaitazama nzuri, umejitahidi sana, angalia kuna baadhi ya nchi umesahau kujaza pale kwenye kusign up, nimeipenda kwa sbb ni ndogo pia ni mb 8 na kidogo hongera, pia nyepesi sio nzito
 
Japo simpenzi wa social hizi lakini wacha nikupe hongera, nimeona nimedowload nikaitazama nzuri, umejitahidi sana, angalia kuna baadhi ya nchi umesahau kujaza pale kwenye kusign up, nimeipenda kwa sbb ni ndogo pia ni mb 8 na kidogo hongera, pia nyepesi sio nzito
Asante sana mkuu... nitajitahidi kurudia list za country upya...
 
Hah.. asante sana mkuu... ebu tuanze tupate watumiaji wa kutosha..
Mkuu nishaidownload. Ipo shida kwenye feedback. Nimejiunga kupitia email,sasa link ya kuactivate inatumwa kwenye email. Mpk sasa hv haijatumwa but am still waiting. Jaribu kurekebisha hili
 
Mkuu nishaidownload. Ipo shida kwenye feedback. Nimejiunga kupitia email,sasa link ya kuactivate inatumwa kwenye email. Mpk sasa hv haijatumwa but am still waiting. Jaribu kurekebisha hili
Poa... nitajaribu kucheck...ila hakikisha email kama ilikaaa sawa.. ila kuna options nyingine waweza zitumia za facebook na gmail nikiwa naangalia tatizo la email
 
Ishakubali though it delayed. Great great application. Well done mkuu. Jaribu kutafuta Mtu wa graphics apedezeshe kidg.
 
Ishakubali though it delayed. Great great application. Well done mkuu. Jaribu kutafuta Mtu wa graphics apedezeshe kidg.
Yah... asante..nitajaribu kushilikiana na watu wengi huko mbeleni.. ebu nimalizie design ya functionality kwanza..
 
Habari,
Nimetengeneza app ya android application ambayo ipo supported kwa android version 4 na kuendelea.. kwa sasa ni final version kwa upande wangu. Ila nitapenda mawazo zaidi kutoka kwenu.
Kwa sasa inavyoonekana kwenye screenshot.


Tafuta Bongogram kwenye playstore au felijose systems utapata Bongogram kwenye list..

Au tembelea website ya BongoGram

Shukrani..

link ya kuweza kuidownload na kusoma descriptions ni...

Bongogram - Android Apps on Google Play
hongera
 
jina lina impact kubwa in marketing lakini kwa jina kma ilo ni ngumu mfano watu wa udom walitengeneza chatting application lakini aijulikani sababu ya jina
Lakini nilikusanya maoni mkuu wakanichagulia hilo.. ila kwa sababu halijawa official zaidi nitachukua maoni zaidi
 
Comments please..
imekaa vizuri lakini tatizo itakua lugha,haitokua tofauti sana na apps nyingine tunazotumia daily ushauri wangu ni kwamba badilisha utumie lugha ya kiswahili ili hata mtu wa kijijini aweze kuitumia kwa,hapo utatisha sanaaa na ntaidownload,kwa sasa siwezi kudownload kwa sababu najua mambo ni yaleyale,tengeneza kitu cha kipekee na tofauti chukulia kama changamoto
 
imekaa vizuri lakini tatizo itakua lugha,haitokua tofauti sana na apps nyingine tunazotumia daily ushauri wangu ni kwamba badilisha utumie lugha ya kiswahili ili hata mtu wa kijijini aweze kuitumia kwa,hapo utatisha sanaaa na ntaidownload,kwa sasa siwezi kudownload kwa sababu najua mambo ni yaleyale,tengeneza kitu cha kipekee na tofauti chukulia kama changamoto
Poa.. asante sana kwa suggestion hiyo.
 
Back
Top Bottom