Msaada wa mawazo: Nimetengeneza Instagram ya kibongo

Msaada wa mawazo: Nimetengeneza Instagram ya kibongo

Habari,
Nimetengeneza app ya android application ambayo ipo supported kwa android version 4.* hadi 5.* .. ila kwa sasa iko kwenye majaribio.. nitaomba msaada wenu wa kimawazo..or kimarketting n.k...
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.felijose.mchunguzi.trendingimages

Mkuu kwa nini umeiruhusu play store ya huko peke yake?? Dude unlock it play store ya kwangu huku haionekani, hiyo link haifunguki..
Ukiwa unatengeneza app naomba uwe unakumbuka kuna wabongo wengi kinoma walio nje, wengi kinoma
 
good idea... but kuna mapungufu kadhaa.
1- login form cjaependa kwann iwe google+ peke yake?
2-iyo picha ya kilimanjaro haijakaa poa labda utafute nyingen weke lakin iwe HD
3- wez amin cjafanikiwa kulogin
 
good idea... but kuna mapungufu kadhaa.
1- login form cjaependa kwann iwe google+ peke yake?
2-iyo picha ya kilimanjaro haijakaa poa labda utafute nyingen weke lakin iwe HD
3- wez amin cjafanikiwa kulogin

Poa mkuu.. nitajaribu kuweka na option nyingine..
 
..................
 

Attachments

  • 1442046982475.jpg
    1442046982475.jpg
    28.3 KB · Views: 185
  • 1442046996443.jpg
    1442046996443.jpg
    28.1 KB · Views: 165
  • 1442047013289.jpg
    1442047013289.jpg
    47.7 KB · Views: 158
  • 1442047031196.jpg
    1442047031196.jpg
    29.4 KB · Views: 156
  • 1442047044032.jpg
    1442047044032.jpg
    33.9 KB · Views: 153
  • 1442047060486.jpg
    1442047060486.jpg
    61.9 KB · Views: 152
  • 1442047077546.jpg
    1442047077546.jpg
    60.2 KB · Views: 151
  • 1442047103229.jpg
    1442047103229.jpg
    54.9 KB · Views: 156
Yeah profile huwa napata kwenye option nyingine

Yah.. ndo nimegundua.. niliweka option kama screen ni ndogo.. ila kwa sasa nataka niforce ikae juu. Ndo interface inakuwa nzuri zaidi
 
Kama mnaweza kuupdate.. kwa sasa nimeongeza na kumodify vitu vingi sana....
Screenshots kwa ilivyosasa..
 

Attachments

  • 1447657224901.jpg
    1447657224901.jpg
    32.7 KB · Views: 160
  • 1447657253538.jpg
    1447657253538.jpg
    20.7 KB · Views: 155
  • 1447657280873.jpg
    1447657280873.jpg
    23.4 KB · Views: 156
  • 1447657303433.jpg
    1447657303433.jpg
    27.2 KB · Views: 151
kama una mtu ameishindwa kuiona app store aseme atapakuliwa
 
Nimetoa final version.. kwa sasa... naomba makicheck na mmniambie kama ni nzuri vya kutosha kuifanya public zaidi.
 
Back
Top Bottom