Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,297
Sijakataa kuweka tangazo kwanii usiweke mfumo mzuri kama post, kama ilivyo hapa JF kuliko kuweka tangazo kinalofunika kioo kizima cha simuHakuna kinachoweza ishi bila matangazo.. Na youtube wanakatisha nao