Hiyo link inasumbua kuitoa.. mpaka nisubmit upya kutokea mwanzo
Habari,
Nimetengeneza app ya android application ambayo ipo supported kwa android version 4.* hadi 5.* .. ila kwa sasa iko kwenye majaribio.. nitaomba msaada wenu wa kimawazo..or kimarketting n.k...
Tafuta Bongogram kwenye playstore au felijose systems utapata Bongogram kwenye list..
Shukrani..
link ya kuweza kuidownload na kusoma descriptions ni...
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.felijose.mchunguzi.trendingimages
kaka kwa hapa tz utakosa soko na ili kuja hadi ijulikane tz utakuwa umealibu ela nyingi sana hata mil 5 inafika je ww utapateje fahida kutokana na hiyo app nijuze nikwambie kitu
Tena idea nyingine niliyonayo ni kuingia ubia na watu ambao washajulikana kama mitandao ya simu kuitangaza
Mi sasa natengeneza tu niapate watu wa kutumia kwa sasa.. ila upande wa faida sijawaza sana.. maana kwa sasa nadepend kwa kazi niliyonayo na masilahi ni mazuri..
ok nimekupata na ili upate udhamini inatakiwa kwanza ijulikane na watu kwa kuitanzaja kwenye blogs,social networks, google adsense vile vile kwenye bulk sms. vile vile nimeona kuwa bado ujaitengenezea website yake pia fanya mchakato katika hilo