Hapo kwenye jina nakushauri ubadilishe jaribu kitu kama Tanzagram,Tangram au Bongogram. Au pia unaweza kuja na jina tofauti kabisa ambalo halitalink app yako na instagram.
Hapo kwenye jina nakushauri ubadilishe jaribu kitu kama Tanzagram,Tangram au Bongogram. Au pia unaweza kuja na jina tofauti kabisa ambalo halitalink app yako na instagram.
Habari,
Nimetengeneza app ya android application ambayo ipo supported kwa android version 4.* hadi 5.* .. ila kwa sasa iko kwenye majaribio.. nitaomba msaada wenu wa kimawazo..or kimarketting n.k...
Shukrani..
link ya kuweza kuidownload na kusoma descriptions ni...
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.felijose.mchunguzi.trendingimages
Asante.. kwabushauli.. si naweza kuitahivyo na bado ikatumika nchi nyingine? Au nitakuwa nimekosea?
Nimejimbia kwa siku tano tena.. nimekuja na kitu cha muonrkano mzuri zaidi... naomba kama umedownload update au download upya kama uliunstall.. nadhani hutojutia kuweka kwa sasa..
Nimejimbia kwa siku tano tena.. nimekuja na kitu cha muonrkano mzuri zaidi... naomba kama umedownload update au download upya kama uliunstall.. nadhani hutojutia kuweka kwa sasa..
Hiyo tumia mwenyewe
Hiyo tumia mwenyewe
Weka Jina tuende moja kwa moja play store mambo ya link udwanzi,pia weka kwenye share files site Kama mediafire,hulkshare kwa *.apk wengine playstore hatuna.
kaka kwa hapa tz utakosa soko na ili kuja hadi ijulikane tz utakuwa umealibu ela nyingi sana hata mil 5 inafika je ww utapateje fahida kutokana na hiyo app nijuze nikwambie kitu