Msaada wa mawazo: Nimetengeneza Instagram ya kibongo

Nmekua na interest kubwa sana kufahamu programming na business ya software kiujumla tangu nimeanza ku link na internet, mkuu kwanza nikupongeze UMETHUBUTU, UMEWEZA UMEFANYA na ninaimani utendelea kusonga mbele, mi ni mmoja kati ya walio Download bongogram na nika sign up kwa acc yangu ya facebook app iko vizuri zaidi nlitaka kukupa ushauri kidogo juu ya app yako ile nyingine PEARSONAL FINANCE mi naiona iko vizuri ukipata time hebu icheki vizuri kwa jicho la 'techno enterpreneur' ukiifanyia update hasa ukatuwekea na namna tunaweza kua na page zaidi ya moja kuhifadhia kumbukumbu tutabarikiwa sana nime download na ninaitumia nimeipenda kweli.
Asante sana mkuu.. hiyo nitajaribu kuimodify.. maana kama niliitelekeza vile maana muda ulikuwa ukibaba... ila i hope kwa mwezi ujao naanza upya kuiboresha.. maana hiyo ndo ilikuwaga app yangu ya kwanza kwenye market so kwa sasa nishaongeza ujuzi zaidi and i hope update ijayo itakuwa bora zaidi
 
Ok.. hamna shida.. but nishatengeneza kitu kikubwa nchi hii ambacho nadhani na ww ushakitimia.. kama ujakitumia utakuja kukitumia.. but hautojua...
in interested with your application.
kitu gani ingine umefanya nione pia felijose?
Hongera sana kaka.
 
in interested with your application.
kitu gani ingine umefanya nione pia felijose?
Hongera sana kaka.
Asante sana.. kwa android application ni app mbili tu.. ukitafuta felijose systems utaona list zote.. vitu vingine nilivyofanya ni system za ndani ya organisation.. mfano zanzibar land registration system.. , surveyors plugin kwa kumodify QGIS(cosovo and zanzibar)..na system nyingine ndogo ndogo za organisation ndo cv yangu kwa ufupi..
 
Asante sana.. kwa android application ni app mbili tu.. ukitafuta felijose systems utaona list zote.. vitu vingine nilivyofanya ni system za ndani ya organisation.. mfano zanzibar land registration system.. , surveyors plugin kwa kumodify QGIS(cosovo and zanzibar)..na system nyingine ndogo ndogo za organisation ndo cv yangu kwa ufupi..

Hongera sana kaka,
Mungu akutangulie ufanye makubwa zaidi ya haya.
 
Hongera mkuu ..nilikua na maoni juu ya jina

jina la kwanza ni Barazani ..nikiwa na maana watu wanakaa kuongea

jina la Pili ni Jamvini ni kuwa na maana watu wanakaa kubadirishana mawazo
 
Hongera mkuu ..nilikua na maoni juu ya jina

jina la kwanza ni Barazani ..nikiwa na maana watu wanakaa kuongea

jina la Pili ni Jamvini ni kuwa na maana watu wanakaa kubadirishana mawazo
Asante mkuu...version ya tatu ndo itaamua kama nibadili jina au la.. ndo nitaanza kuifanyia kazi.. maana kubadili jina kunaleta challenge ya kubadili vitu vingi
 
Nimeidownload naona iko poa ushaur wangu hebu kuwa serious! Ipromite kwenye maredio na kwa mastar kaka hii kitu itakuja kukulipa balaa
 
Nimeidownload naona iko poa ushaur wangu hebu kuwa serious! Ipromite kwenye maredio na kwa mastar kaka hii kitu itakuja kukulipa balaa
Asante mkuu ndo nataka nianze harakati hizo.. maana kudevelop ndo hawamu hii nimemaliza juzi
 
Umetengeneza bongo gram halaf mara ghafla unasikia kitu kama hichi,
We have long way to go BUT kaza uzi mzazi songa mbele usiogope
 

Attachments

  • 1454448127964.jpg
    1454448127964.jpg
    10.6 KB · Views: 75
Changes nyingi na modifications kwa sasa... fanyeni kuupdate au kudownload upya kama mlitoa..
 
Back
Top Bottom