sas tunaponakweli system ya bodi ya mkpo ipo down na mda wa kuomba unakalibia kuishaSame problem
Deadline sio tar 15/08/23 ?mda bado mkuu mpaka october 10
Deadline ni lini?Hilo limekuwa tatizo kwa waombaji wengi. HESLB wanapaswa kufanya jambo katika hilo. Wengi wamekwamia hapo kufanikisha maombi yao.
Kama inaload tu jua umekosea Birth verification Number au cheti chako cha kuzaliwa kina majinatofaut na yaliyoko kwneye vyeti vya elimuHilo limekuwa tatizo kwa waombaji wengi. HESLB wanapaswa kufanya jambo katika hilo. Wengi wamekwamia hapo kufanikisha maombi yao.
Birth verification number ndo ile entry number au ile ya kwenye rita reference number mfan 20230456_BVKama Birthverification number haijaleta pale kuwa imekuwa registerd bas apo haiwez kukubali kuendelea, hakikisha Birth verification nunber ni sahihi
Iyo iloyoishia na BVBirth verification number ndo ile entry number au ile ya kwenye rita reference number mfan 20230456_BV
Deadline ni lini?
Naona uko sawaHabar vipi mtandao wa bodi ya mkopo umekaa sawa au imepatikana mbinu yoyot y kutatua tatzo
Try calling them kuanzia saa 2-3 asubuhi usichoke Kuna mda wanapokeaMimi yapata wiki sasa nimemuombea dogo verification RITA ya birth certificate lakini mpaka huu hawajinipatia majibu
Namba Yao ni ipi mkuuTry calling them kuanzia saa 2-3 asubuhi usichoke Kuna mda wanapokea
Hiyo birth Verification namba ni ya kutoka RiTaMsaada wa maombi ya mkopo wa elimu ya juu(HESLB) nilikuwa namuapplyia mkopo mdogo wangu sasa nimefika katika demograhic info nmejaza fomu vizur inalod tu ainipi murejesho naombeni msaada maana nimekwama siwezi endelea mbele.