Baba iko poa, ila Bei ni kikwazo kwangu, pengine miaka ijayo nikifikia anga zako nitainunua, ila kwa sasa USD haziruhusu mkuu!
kuna jamaa alikuwa nayo kazini hii ni ndogo lakini balaa aisee..
Dola 270 ni halali iwe balaa!kuna jamaa alikuwa nayo kazini hii ni ndogo lakini balaa aisee..
Kama budget yako ndogo chukua Anker SoundCore Pro+Baba iko poa, ila Bei ni kikwazo kwangu, pengine miaka ijayo nikifikia anga zako nitainunua, ila kwa sasa USD haziruhusu mkuu!
Tsh ngapi hii sheikh, mziki wake ni wakibabe au wa kubahatisha!Kama budget yako ndogo chukua Anker SoundCore Pro+View attachment 1067990
Sent using Jamii Forums mobile app
ipo around laki mbili hiviTsh ngapi hii sheikh, mziki wake ni wakibabe au wa kubahatisha!
Vip anker soundcore 2, ubora wake upoje? Nimeona aliexpress wanaziuza hadi TZS 77,000Kama budget yako ndogo chukua Anker SoundCore Pro+View attachment 1067990
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh!!! Mbona ulijiingiza gharama hivo wakati option za speaker nzuri zenye mziki mkubwa na being nafuu uliambiwa kabisa kuwa ni Anker.Nilinunua USD 270 South Africa
Kuna mzgo wa JBL acha kabisa
Hii ni charger 3 tu..balaaaView attachment 1068389
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Bei kubwa sawa ila quality hapana hazifanani,Mmmh!!! Mbona ulijiingiza gharama hivo wakati option za speaker nzuri zenye mziki mkubwa na being nafuu uliambiwa kabisa kuwa ni Anker.
Yaani unanunua speaker laki sita???
Wakati kuna za laki moja with same quality
Acha masihara wewe,yani sound ya jbl unafananishe na mchina anker? Hujaiskia jbl ww [emoji3]Mmmh!!! Mbona ulijiingiza gharama hivo wakati option za speaker nzuri zenye mziki mkubwa na being nafuu uliambiwa kabisa kuwa ni Anker.
Yaani unanunua speaker laki sita???
Wakati kuna za laki moja with same quality
Acha masihara wewe,yani sound ya jbl unafananishe na mchina anker? Hujaiskia jbl ww [emoji3]
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Ukitaka mdundo mkubwa nunua speaker za BOSE hutajutia,ni speaker ndogo lakini upande wa bass ni hatari...asante sana kwa ushauri na je zina mdundo mkubwa kama speakers nyingine za home theatre nk na je naweza kutumia kwenye gari?
Hii ya kawaida sana ina 6W, agalau upate ya 20W na kuendelea. Ila kwa bei yake ni much decent.Vip anker soundcore 2, ubora wake upoje? Nimeona aliexpress wanaziuza hadi TZS 77,000