Pythagoras
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,407
- 6,340
Dooooh, ambazo bei yake inaweza ikawa kama shiling ngap?Hii ya kawaida sana ina 6W, agalau upate ya 20W na kuendelea. Ila kwa bei yake ni much decent.
Dooooh, ambazo bei yake inaweza ikawa kama shiling ngap?Hii ya kawaida sana ina 6W, agalau upate ya 20W na kuendelea. Ila kwa bei yake ni much decent.
Charger 3 ndio jina lakeChaja tatu una maana gani. Bei yake inacheza kwenye dola ngapi.
Je, inaweza kupiga nonstop kwa muda gani kabla chaji kuisha, 4 hours???
Je inatumia betri za kununua dukani, ama kuchaji.
Jbl charger 3 ni dola 150 almostBei yake ndio hiyo $270 ambazo ni almost TZS 600,000??
$60, ila bei isukatishe tamaa. Kwa kuanzia unaweza kuchukua hiyo soundcore 2 kwani imetengenezwa kwa bassup technology inaifanya iwe na mdundo hata kama drivers zake ni za 6W.Dooooh, ambazo bei yake inaweza ikawa kama shiling ngap?
Nlisoma mahali ina uwezo wa kuchaji simu pia...Charger 3 ndio jina lake
Inapiga masaa 12 hadi 14
Yani unapiga ngoma asubuh jadi jion
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Muziki wake ni mkubwa sana kupita maelezo. Unaweza kuitumia hata kwenye sherehe ya watu 100 na wakaburudika vizuri tuMmmh!!! Mbona ulijiingiza gharama hivo wakati option za speaker nzuri zenye mziki mkubwa na being nafuu uliambiwa kabisa kuwa ni Anker.
Yaani unanunua speaker laki sita???
Wakati kuna za laki moja with same quality
Ndugu yangu mziki wake ni mkubwa kuliko hiyo bei. Mziki wake kama ukiupa thamani ni mara mbili ya hiyo bei ni balaa. Kuna siku nilienda nayo Bagamoyo kuna hoteli Fulani ya ufukweni walikuwa wanapiga mziki mara umeme ukakata halafu jenereta likawa linazingua. Nilienda kuichukua nikawasha mziki yaani mziki wao ulionekana cha mtoto sana. Baadae umeme ulivyorudi wakaniomba waendelee kutumia JBL zanguYaani hii speaker ndiio uliuziwa laki sita!!!
Haijani impress kwa kweli!!!
Ndugu yangu mziki wake ni mkubwa kuliko hiyo bei. Mziki wake kama ukiupa thamani ni mara mbili ya hiyo bei ni balaa. Kuna siku nilienda nayo Bagamoyo kuna hoteli Fulani ya ufukweni walikuwa wanapiga mziki mara umeme ukakata halafu jenereta likawa linazingua. Nilienda kuichukua nikawasha mziki yaani mziki wao ulionekana cha mtoto sana. Baadae umeme ulivyorudi wakaniomba waendelee kutumia JBL zangu
Muziki wake ni mkubwa sana kupita maelezo. Unaweza kuitumia hata kwenye sherehe ya watu 100 na wakaburudika vizuri tu
Kumbe dizaini yake ndio hiyo, mie siyataki.
Mie nataka speaker ya kupiga mziki private mwenyewe, na enjoy bila kuwakwaza watu.
Bora nifocus kwenye kuagiza Anker!
Kama una hela nashauri ununue JBL hata ndogo au Bose. Mie nitaagiza Anker nifanye comparison maana bado nahitaji speakers nyingine kwa ajili ya vyumbani kwenye nyumba yangu. JBL bei yake imesimama sana ila mziki wake hata kama ni taratibu quality yake ni ya juu sanaKumbe dizaini yake ndio hiyo, mie siyataki.
Mie nataka speaker ya kupiga mziki private mwenyewe, na enjoy bila kuwakwaza watu.
Bora nifocus kwenye kuagiza Anker!
Kuna jbl tofaut,charger 3 unatumia zako chumbani tu fresh..hayo makubwa ni mengne...ogopa sana hiyo chager 3Kumbe dizaini yake ndio hiyo, mie siyataki.
Mie nataka speaker ya kupiga mziki private mwenyewe, na enjoy bila kuwakwaza watu.
Bora nifocus kwenye kuagiza Anker!
Kaka Funza, hivi hizi speaker tunazo zungumzia hapa zina option ya kuchomeka Flash Disk ama memory card!!Nilinunua za
Niliagiza za JBL original mziki wake sio wa nchi hii yaani hauelezeki mpk usikie ndio utaelewa na mziki mkubwa sana
Kuna jbl tofaut,charger 3 unatumia zako chumbani tu fresh..hayo makubwa ni mengne...ogopa sana hiyo chager 3
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Km uwezo wako ni chini la $100 basi agiza huo mziki hapo,ni hatari tena kwa affordable price kabisa kutoka store yao aliexpress.Ndo top sound ya anker hakika sijajutia pesa yanguView attachment 1043157View attachment 1043158View attachment 1043159
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmeuliza inamzidi mnyama sony?
Zingine zina option ya kuchomeka flash na kuweza kuplay.. Yangu mm inasehem ya kuchomeka flash but nikiweka huwa haiboot so huwa tu naitumia kuchajia simu. Most of them hazikamati redio labda ziwe za kichinaHivi imekuaje nakuona kama Mr. MTUI lakin quote zako zinaonesha msauzy.
Walikushtukia moderators nini?? Ok, nilikua na swali kidogo nisaidie.
Hivi hizi speaker tunazo zungumzia hapa zina option ya kuchomeka Flash Disk ama memory card!!
Ama zenyewe ni special for Bluetooth tu, hata FM radio hazikamati???
Zingine zina option ya kuchomeka flash na kuweza kuplay.. Yangu mm inasehem ya kuchomeka flash but nikiweka huwa haiboot so huwa tu naitumia kuchajia simu. Most of them hazikamati redio labda ziwe za kichina
Hii JBL ina sehemu ya flash ila haina FM, ili kusikiliza FM nimenunua kisimu cha Nokia ndio nakiunga kwa waya balaa lake sidhani kama kuna home theatres zinasogeleaKaka Funza, hivi hizi speaker tunazo zungumzia hapa zina option ya kuchomeka Flash Disk ama memory card!!
Ama zenyewe ni special for Bluetooth tu, hata FM radio hazikamati???