ishengomais
Member
- Jul 20, 2016
- 18
- 3
Wanaangalia ufaulu wa a level mkilingana wanaenda o level mkilingana ndo wanaangalia nani aliwahi kuomba
mkuu nakipenda hcho chuo chs HK .yaa ndo ufaulu wangu mkuu wala sdanganyiDogo mbna ujatulia!!
Minahis unatudanganya matokeo yako.
inaezekana hujapata dvsn2 ya 10!!
Kama unahuo ufaulu nakwambia jaza udsm ya kwanza medicine ukikosa labda siyo mm mzoefu!!
Last year UDSM MD walichukua mpaka Merit yaan dvsn2 na ilikua BRN mwaka huu wnyw dvsn 2 y mwanzo UDSM mnapata.
Ila kama umepata hyo point y nn uangaike na Hubert Kairuki.!?
1.UDSM
2.AJUCO
3.KAIRUKI
ALL THE BEST
ufaulu wako n mkubwa Donworry about cmpttn from other applicant.
nlitaka kufanya editing mkuukwann umefuta?? kabla hatujaenda mbalii
omba maana mwaka huu kaka angu sayansi wanaomba diploma
sjakuelewa mkuu sayansi wanaomba diploma!omba maana mwaka huu kaka angu sayansi wanaomba diploma
namaanisha wangu wamezingua matokeo yaosjakuelewa mkuu sayansi wanaomba diploma!
ko wanaweza kunivuta hpo hubert kairuki?namaanisha wangu wamezingua matokeo yao
yeah inaweza kuwako wanaweza kunivuta hpo hubert kairuki?