Naulizia vitu hivi hapa wakuu;
1. Halmashauri ya wilaya
2. Halmashauri ya manispaa
3. Halmashauri ya mji
4. Halmashauri ya jiji
5. Maana ya 'halmashauri'
Hili ni jukwaa la kujifunza na kuelimika, naomba nielimishwe kuhusu hoja hizo hapo juu ambazo mpaka sasa nazijua kwa mazoea tu ya kuzitamka basi lkn si kwa kuzichambua.....isitoshe kutoa elimu kwa mtu ni ibada tosha kabisa kwa Muumba, yaani Mola.
Ahsanteni na mbarikiwe sana!
1. Halmashauri ya wilaya
2. Halmashauri ya manispaa
3. Halmashauri ya mji
4. Halmashauri ya jiji
5. Maana ya 'halmashauri'
Hili ni jukwaa la kujifunza na kuelimika, naomba nielimishwe kuhusu hoja hizo hapo juu ambazo mpaka sasa nazijua kwa mazoea tu ya kuzitamka basi lkn si kwa kuzichambua.....isitoshe kutoa elimu kwa mtu ni ibada tosha kabisa kwa Muumba, yaani Mola.
Ahsanteni na mbarikiwe sana!