Msaada wa kutambua hii mali

Msaada wa kutambua hii mali

ntachimba kimyakimya mpaka kieleweke mkuu hadi waje wagundue ntakuwa nimejaza gunia ndani
Siku wakishituka wanakuchua na vielelezo kama sururu na dhahabu gunia lote hapo ndio bas humu jf tutakuwavtunakumbuka post zako tu.
 
Kwahiyo mkuu nami naruhusiwa kuja na sandarusi yangu nijaze hapo vijikilo nipate vijisenti vya hela ya mboga tu?
 
Azinaga dili bt kwa tani zinauzika mwaka jana kunamchina alinisumbua sana nikamkusanyia mererani zakutosha mwishoni kakata ofa yakishenzi
 
me niliwahi kuokota hivyo nikatupa kumbe nilitupa pesa
 
Hiyo inaitwa pyrite (foolish gold),ila inapopatikana hiyo huwa kuna uwezekano mkubwa wa kuwepo na dhahabu,chuma etc
Kisayansi ni IRON SULPHIDE. Ina Iron na Sulphur kama kwenye makinikia. Inaambatana saana na dhahabu ila sio lazima. Ndiyo maana kwenye makinikia pia IMO.
 
Hiyo ni foolish gold na chemical content yake ni FeS Kwa hiyo hakuna dhahabu hapo ila pia inanunuliwa bei yake ipo chini inauzwa kwa tani ni moja wapo ya iron ore na sulfer
 
nawashukuru sana kwa michango yenu nyoote na kwa kifupi tu nimefanikiwa kwenda kuipima but kwa bahati mbaya sio yenyewe so asanteni kwa ushauri mlionipatia
 
Back
Top Bottom