Msaada wa kutambua hii mali

Msaada wa kutambua hii mali

Boss kama unaeza fika Dar maeneo ya kuelekea bahar beach pale katikati iv nimesahau kituo kuna kashirika kamoja kana pima madini fresh saana kuna mbongo mmoja apo ukimpelekea anaeza akakupa majibu ya UHAKIKA bila kubahatisha kuhusu ilo eneo kwa kumpooza kitu kidogo.. kuna maabara na kila unachohitaji... nlimsindikiza jamaangu mmoja iv sema sikujiconnect sana nao. Google tafta iyo office ulizia kama unania jitose jaribu utapata uhakika wa eneo lako. nikikumbuka panaitwaje ntakustua
 
Nadhani naifahamu hiyo miamba! Lkn kabla sijakwambia inaitwaje, niambie, je ni vizito kiasi flani?
ndio mkuu vina kauzito flan na ukikivunja kinang'aa hivyohivyo mpaka ndani
 
Kwa njaa nliyonayo hapo nlivoviokota ivo... baada ya nusu saa watu wangeniuliza ilo shimo la choo unachimbaje huku shambani... ningekua mita 16 chini siwaskii... Pangeeleweka siku hiyo hiyo kama kuna Gold au la..!!!
 
Hiyo inaitwa pyrite (foolish gold),ila inapopatikana hiyo huwa kuna uwezekano mkubwa wa kuwepo na dhahabu,chuma etc
Mkuu chalcopyrite ndiyo fool's gold!
Anyway haupo mbali sana na ukweli...
 
ok kwa hyo mkuu haina issue yoyote hii kitu maana nilikuwa nalima nikaipata
Wapo ambao uwa wazitumia tu kama ornaments lakini value yake sio ya kutisha kivile.

Cha msingi tambua tu hicho ni kiashiria kwamba yawezekana ardhi hiyo ina madini ya dhahabu.
 
Wakuu habari ya jumapili,jana katika pilika zangu za kilimo nikakutana na hivi vipande vya vimawe vinatoa mg'ao je ni dhahabu au kitu gani kwa anaejua msaa pleaseView attachment 518895View attachment 518896
Mkuu hayo ni madini ya ulanga, maeneo ya mzumbe na ukiwa unaenda sehemu mongwe katika peak ya safu za milima uluguru hayo mawe yapo mengi sana, anyway fuatilia vizuri kama itakuwa ni dhahabu niambie ili nipeleke tipa nikayazoe tu
 
Mkuu uko wapi nije kununua hivyo hivyo hata kama ni dhahabu mshenzi
 
Back
Top Bottom