Mtu anaweza kujaza application online na kupata namba au tena ni mpaka uanzie ofisi ya mtendaji?NIDA online copy service walishaga sitisha
Now online unaeza pata namba ya NIDA tu
Mama bado hajaitolea tamko hii taasisiSasa mkuu unaenda mahali mwaka mzima kufuatilia kitambulisho hupewi hawakuonei huruma wala aibu sasa unatarajia kama online watakupatia hao miungu watu?
Tena hii taasisi ifutwetu au uongozi watimuliwe wakacheze zumna na drafti hiko
Hii ishajifia kifo cha mendeMama bado hajaitolea tamko hii taasisi
Hata ukiambiwa hamna malipo nikama vile yapo tu.Msaada wakuu Kwa aliyewai kuomba NIDA online hatua ni zipi, na Je Kuna kulipia?
Kama malipo yapo, unalipia nini na unalipa kiasi gani?
Mimi nilienda stationary moja hapa Arusha chap nikapewa ila unalipa ten.Kaulizie stationary yeyote kama wana huduma hiyoJaman naomba msaada kujuzwa,namna ya kupata Online Copy ya Kitambulisho cha NIDA.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Nimekutext inboxNi pm chap Ila sio bure
Si uweke hapa kwa niaba ya wengi?Ni pm chap Ila sio bure