Mwambie atafute kazi nyingine, jeshi sio kazi, wanaenda kuuliwa kama kuku nchi za watu wanapokwenda kulinda amani kama Kongo, somalia na sudan afu inabaki kuwa Siri ya jeshi, hawasemagi.
Afu wanapelekwa pelekwa ovyo kama wafungwa, sheria ni ndio Kila kitu ndio mkuu, hata ubakwe ndio mkuu