Msaada wa kumroga aliye Senegal, amenitapeli TZS 5 Millioni

Msaada wa kumroga aliye Senegal, amenitapeli TZS 5 Millioni

Pole sana mkuu. 5m ungenunua kimada wa kudumu kabisa mwenye sura kumpita huyowa picha tu. Kweli umemaliza; yaani kwa kuona picha tu, ukatuma 5m. Makapuku wako sana kweli.
Ushauri; Usijaribu kumloga kwa sababu aweza kuwa rafiki mliokuwa naye Mzumbe. Halafu alipozichukua, alikununulia lunch. Mimi sio mchawi ila hao ni marafiki zangu. Waliniambia, ukitaka mtu uliyemla asikudhuru kwa uchawi wala akipasua chungu kisikudhuru, mlishe chakula kidogo kwa fedha yake hiyo hiyo au mlipie karo mwanaye. Akijaribu kukuloga huugua yeye.
Muulize rafiki yrtu mshana jr atathibitisha
 
I see your profile im attracted with you.....can i have your email so that i can contact you.......sijui nini na nini.....wageni wa kwenye mtandao mnaonewa nasa ila ndio kujifunza....izo nishatumiwa sana tangu nipo msingi.....nilishapata kuambiwa nimeshinda shindano la cocacola midola kibao had nikaweweseka.......hata huyo wa ukimbizini ashawahi nitumia na mpaka na simu nilipigaga sema sikuwa na chakutapeliwa.....Linapokuja suala la bank ama matumizi yoyote yatakayo hitaji info za ATM card yangu....lazima nifanye uchunguzi wa kina.....PAYPAL ndio mdhamini wa malipo yangu yote.....nipo salama dunia kote.
 
Salam wakuu.

Naomba ushauri wa namna ya kumroga mtu ambaye yupo nchi ya nchi ya Tanzania. Kuna mdada mmoja nilianza kuwasiliana nae mapema mwaka juzi nikiwa Chuo Kikuu Mzumbe,anatokea Senegal.Alianza kwa kuniomba urafiki facebook, nikamkubalia.Alionekana kuwa mwenye umbo zuri na sura nzuri sana.

Ikafikiwa hatua akasema yupo kambi ya kulelea watoto waliopatwa na majanga ya wazazi wao,na yeye akiwa mmoja wapo. Kwa historia yake, alisema babaake alikuwa meneja wa benki kule Sudan kusini lakini baadae aliuawa na kuacha kiasi kikubwa sana cha pesa benki, US$ 20,000,000.(Dola milioni ishirini).

Tukakubaliana mm nitume hela milioni 5 za hapa kwetu kwa ajili ya kuactivate akaunti ya babaake ili hela hizo zichukuliwe. Alisema mm ningepata mgao wa TZS 150,000,000 na alishakubali kuja kuishi hapa Tanzania ili tuoane maana yeye hana ndugu tena.Walikufa kwa machafuko. Nilipambana sana na hali hii ilivyo, nikatuma TZS 5,000,000 (kwa mfumo wa dollar). Cha kushangaza, hata simu aliyokuwa akiitumia kuwasiliana na mm, haipatikani. Hata mlezi wao hapatikani.

Naombeni mbinu mpya ya uchawi ili nimrogee hukohuko.Siwezi kukubali hela yangu ikapotea hivyohivyo mm.Sikubali kabisa.

Msaada please.

Nawatakia jioni njema
hv huu utapeli bado kuna watu mpaka leo wanatapeliwa??[emoji28] [emoji28] [emoji23]
mm hata nilivokua o level walifeli kunitapeli kijinga kiasi hiki
 
Salam wakuu.

Naomba ushauri wa namna ya kumroga mtu ambaye yupo nchi ya nchi ya Tanzania. Kuna mdada mmoja nilianza kuwasiliana nae mapema mwaka juzi nikiwa Chuo Kikuu Mzumbe,anatokea Senegal.Alianza kwa kuniomba urafiki facebook, nikamkubalia.Alionekana kuwa mwenye umbo zuri na sura nzuri sana.

Ikafikiwa hatua akasema yupo kambi ya kulelea watoto waliopatwa na majanga ya wazazi wao,na yeye akiwa mmoja wapo. Kwa historia yake, alisema babaake alikuwa meneja wa benki kule Sudan kusini lakini baadae aliuawa na kuacha kiasi kikubwa sana cha pesa benki, US$ 20,000,000.(Dola milioni ishirini).

Tukakubaliana mm nitume hela milioni 5 za hapa kwetu kwa ajili ya kuactivate akaunti ya babaake ili hela hizo zichukuliwe. Alisema mm ningepata mgao wa TZS 150,000,000 na alishakubali kuja kuishi hapa Tanzania ili tuoane maana yeye hana ndugu tena.Walikufa kwa machafuko. Nilipambana sana na hali hii ilivyo, nikatuma TZS 5,000,000 (kwa mfumo wa dollar). Cha kushangaza, hata simu aliyokuwa akiitumia kuwasiliana na mm, haipatikani. Hata mlezi wao hapatikani.

Naombeni mbinu mpya ya uchawi ili nimrogee hukohuko.Siwezi kukubali hela yangu ikapotea hivyohivyo mm.Sikubali kabisa.

Msaada please.

Nawatakia jioni njema
Kumbe mabwege mpo wengi Tanzania!

Pole sana kwa kutapeliwa kibwege namna hiyo,
 
Mimi ni mkristo na kwenye maandiko Matakatifu ndani ya Biblia Takatifu kina mstari umeandikwa usimdai mtu uliyemkopesha kama hataki kulipa deni Mwachie Mungu atashughulika nae
huyu hajamkopesha....amempa
 
~~~>>>Kumbe wajinga hawaishi chini ya Jua....
 
Salam wakuu.

Naomba ushauri wa namna ya kumroga mtu ambaye yupo nchi ya nchi ya Tanzania. Kuna mdada mmoja nilianza kuwasiliana nae mapema mwaka juzi nikiwa Chuo Kikuu Mzumbe,anatokea Senegal.Alianza kwa kuniomba urafiki facebook, nikamkubalia.Alionekana kuwa mwenye umbo zuri na sura nzuri sana.

Ikafikiwa hatua akasema yupo kambi ya kulelea watoto waliopatwa na majanga ya wazazi wao,na yeye akiwa mmoja wapo. Kwa historia yake, alisema babaake alikuwa meneja wa benki kule Sudan kusini lakini baadae aliuawa na kuacha kiasi kikubwa sana cha pesa benki, US$ 20,000,000.(Dola milioni ishirini).

Tukakubaliana mm nitume hela milioni 5 za hapa kwetu kwa ajili ya kuactivate akaunti ya babaake ili hela hizo zichukuliwe. Alisema mm ningepata mgao wa TZS 150,000,000 na alishakubali kuja kuishi hapa Tanzania ili tuoane maana yeye hana ndugu tena.Walikufa kwa machafuko. Nilipambana sana na hali hii ilivyo, nikatuma TZS 5,000,000 (kwa mfumo wa dollar). Cha kushangaza, hata simu aliyokuwa akiitumia kuwasiliana na mm, haipatikani. Hata mlezi wao hapatikani.

Naombeni mbinu mpya ya uchawi ili nimrogee hukohuko.Siwezi kukubali hela yangu ikapotea hivyohivyo mm.Sikubali kabisa.

Msaada please.

Nawatakia jioni njema
Wafuate hawa PM:
1. MziziMkavu
2. jichawi
3. Mtu mzito
4. mshana jr
 
Chalii angu ww asee ni loo ni loooofa m5 nyakati hizi??? Ulikuwa huulizi jombaa hizo utapeli enzi za mwinyi ww unatapeliwa leo daaah....rudi tuu kolomije mjini hupawezi babuu
 
Unatafuta kiki wewe Ila karibuni jukwaa la attention seekers litafunguliwa
 
Kama una masalio ya pesa bado na unataka pia yapotee wewe kazania kuroga. Wewe shughulia kurekebisha akili zako uwe makini wa kupimia na kuchukua maamuzi sahihi. Huyo uliemtumia pesa wala hakuawa mwanamke ni mwanamume kama wewe ila kakuzidi akili tu. tulizanisha mzuka na uanze upya.
 
Unasoma chuo kikuu..? We utaluwa unasoma Zoom au Zayoni vile navyovionaga vinajinadi kwenye Tv,akili bashite wewe,rudi kijijini fasta
 
Njoo sumbawanga tutakuuzia rad ..bei kuanzia shilingi mia mbili utaituma itaenda hadi huko aliko...
 
Hahaha
Mkuu unaibiwa na utapeli wa kizamani kiasi hicho..
Tamaa zimekuponza,tamaa ya kumtafuna na kumuoa huyo binti mrembo na tamaa ya kupata mapesa mengi ya bure
Pole sana
Hiyo imeenda tu mkuu
Halafu hao huwa sio wanawake ni wanigeria wana ofisi kabisa za kazi zao hizo na wanaishi maisha ya kifahari
 
Yaani hiyo ni sawa na kujaribu kupiga mpira ukutani West Africa uchawi wao ni moto moto maana unatumika kila siku wa kwako utarudi wako vizuri
 
Hahaha
Mkuu unaibiwa na utapeli wa kizamani kiasi hicho..
Tamaa zimekuponza,tamaa ya kumtafuna na kumuoa huyo binti mrembo na tamaa ya kupata mapesa mengi ya bure
Pole sana
Hiyo imeenda tu mkuu
Halafu hao huwa sio wanawake ni wanigeria wana ofisi kabisa za kazi zao hizo na wanaishi maisha ya kifahari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani miaka kama 4 hv iliyopita ndio ilikuwa hot, sasa huyu jamaa kaingizwa mjini 2017. Dah hii kweli aibu, ningekuwa mimi ningejifungia ndani tu kimyaaaa
 
Back
Top Bottom