OK.Pole.
Mwambie fundi a-check backlight inverter. Kama haina tatizo, apime PWM signall zinazoingia kwenye inverter toka kwenye T-Con kama zipo.
Lg ziko sawa tu km utapata orginal mi nilikuwa nayo flat plasma imedunda since 2011 till now haijawahi kuwa na tatizo lolote mpaka nimeamua kuuza nimechukua lg tenaNadhani nitaachana na products za LG. Nina TV yangu flat nayo imechora mistari 4. Kila mwezi unaongezeka mstari. Nahitaji fundi makini. Kwa mwenye msaada tafadhali 0717935721. Asante
Mkuu hatasisi tumenunua original. Nadhani handling ndio tunatofautiana. Nahisi wakati wa kufuta housegirl anatumia maji ikiwa on. Power fluctuation inaweza kuwa tatizo pia na kuua transistor and capacitor. Ila swala la original products huwa nazingatia sana..Lg ziko sawa tu km utapata orginal mi nilikuwa nayo flat plasma imedunda since 2011 till now haijawahi kuwa na tatizo lolote mpaka nimeamua kuuza nimechukua lg tena
Duh unafuta na maji! hujui kuna sln special ya kusafishiaMkuu hatasisi tumenunua original. Nadhani handling ndio tunatofautiana. Nahisi wakati wa kufuta housegirl anatumia maji ikiwa on. Power fluctuation inaweza kuwa tatizo pia na kuua transistor and capacitor. Ila swala la original products huwa nazingatia sana..
Hilo ndilo kosa alilofanya housegirl.. Pia nyumba ina mtoto mdogo hivyo very likely kuwa na matukio kama hayo. Sln ninazo za kutosha lakini siwezi acha kazi nilinde mtoto. Kama unamjua fundi unaweza toa msaada otherwise keep cool tuDuh unafuta na maji! hujui kuna sln special ya kusafishia
Habar Mkuu alpha,yakwangu ni LCD model ya zamani nilichukuwa mtumba Kariakoo.haionyeshi picha lakini inatoa sauti .waweza nisaidia kujua tatizoTv yako ni LG ya technology ipi: plasma,LCD au LED? Anyway, ni model ipi? @M[URL='http://forum.interpals.net/member/1828331-vedastus']shana[/URL]
Mambo ya multiple ID hayoWewe mke wake nini umejuaje kuwa ina miaka miwili?
Salama mkuu. Kama inatoa sauti, mulika na tochi yenye mwanga mkali, kama utaona picha iliyofiffia, litakuwa tatizo la backlight inverter au taa ya backlight. Hata hivyo ni vema upeleke kwa fundi akutengenezee.Habar Mkuu alpha,yakwangu ni LCD model ya zamani nilichukuwa mtumba Kariakoo.haionyeshi picha lakini inatoa sauti .waweza nisaidia kujua tatizo
hivi hizo "backlight ni sh ngapi?Salama mkuu. Kama inatoa sauti, mulika na tochi yenye mwanga mkali, kama utaona picha iliyofiffia, litakuwa tatizo la backlight inverter au taa ya backlight. Hata hivyo ni vema upeleke kwa fundi akutengenezee.
Naombeni kujuzwa pia,mi nina hisense pembeni mwa kioo juu upande wa kushoto na wa kulia kwa mbali mwanga unaanza kufifika kutokea pembeni mfano ikiwa inadisplay picture full utaona juu pembeni kuna namna mwanga haufiki vizuri shida ni nini na je inatatulika?Tunafukua makaburi
Badili taaNaombeni kujuzwa pia,mi nina hisense pembeni mwa kioo juu upande wa kushoto na wa kulia kwa mbali mwanga unaanza kufifika kutokea pembeni mfano ikiwa inadisplay picture full utaona juu pembeni kuna namna mwanga haufiki vizuri shida ni nini na je inatatulika?