Nima Imma
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 2,473
- 3,624
Poleni na majukumu wapendwa,
Naomba msaada Tv yangu inch 43 Lg LED imechora mstari mnene mno kati kati
Shida ni siku moja tukiangakia tv iliweka tu kiza ikawa haionyeshi kitu , basi tukaizima tukaicha
Sasa nikampata fundi akaja kuichek nyumbani akaitengeneza kidogo ikawaka mwanga mweupe bila kuonyesha picha (wala neno la LG).
Akasema akaitengenezee ofisini itapona. Basi nimekaa siku kama siku nne nikampigia
Akaniambia tv imewaka ila imechora mstari mnene sana (naambatanisha na picha)
Wadau tafadhalini najua huku kuna wajuzi wa aina mbali mbali naombeni kujua shida huenda ni nini na inatengenezeka vipi /kwa gharama gani?
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba msaada Tv yangu inch 43 Lg LED imechora mstari mnene mno kati kati
Shida ni siku moja tukiangakia tv iliweka tu kiza ikawa haionyeshi kitu , basi tukaizima tukaicha
Sasa nikampata fundi akaja kuichek nyumbani akaitengeneza kidogo ikawaka mwanga mweupe bila kuonyesha picha (wala neno la LG).
Akasema akaitengenezee ofisini itapona. Basi nimekaa siku kama siku nne nikampigia
Akaniambia tv imewaka ila imechora mstari mnene sana (naambatanisha na picha)
Wadau tafadhalini najua huku kuna wajuzi wa aina mbali mbali naombeni kujua shida huenda ni nini na inatengenezeka vipi /kwa gharama gani?
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app